Kutoka Arusha: Mrisho Gambo atimiza ahadi ya kuchimba kisima Soko la Kilombero

Kutoka Arusha: Mrisho Gambo atimiza ahadi ya kuchimba kisima Soko la Kilombero

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Hakika CCM imedhamiria haswa.
Mbunge mteule wa Jimbo la Arusha ndugu Mrisho Mashaka Gambo ameanza kutekeleza mojawapo ya ahadi zake alizozitoa jijini humo hususani katika soko kongwe na maarufu la watu wa kipato cha kati na chini ,SOKO LA KILOMBERO.

Mheshimiwa Gambo amewezesha uchimbaji wa kisima cha maji na hivyo kuondoa tatizo la maji sokoni hapo.

MY TAKE:
Tanzania ilichelewa sana kimaendeleo hatuna budi kuchapa kazi kwa kasi kubwa.
 
Uchaguzi utarudiwa aache mchecheto alikuwa wapi kuchimba na alikuwa mkuu mkoa.
 
Hiyo ni rushwa,amepata wapi hyo budget hata bado madiwani hawajaapishwa.
 
Afadhali Lema haendelei kuwadanganya makamanda kuwa waendelee kupambana na kuwa wakakamavu huku yeye akivuta mshahara wa Bunge akiwaacha wenzake wamepauka.
 
Watu wa Arusha ndio wa kuwafanyia hayo maigizo ya kitoto? Alikuwa mkuu wa mkoa kwa zaidi ya miaka mitatu hapo hapo Arusha, kipi kilimshinda kuchimba hicho kisima? Isitoshe hapo sokoni kuna Mradi mkubwa wa maji safi ya bomba, kwani asitandaze mabomba ya hayo maji safi, bali anapeleka utapeli wa kisima kama yuko huko poroni!

Halafu huyo Gambo eti Ni kijana lakini ana utapeli kwa kizee sana. Ni hivi hajawa mbunge kwa kura bali, ametangazwa kwenye yale maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Hata afanye maigizo ya kitoto vipi hana ridhaa ya watu wa Arusha mjini. Aweke list ya viwanda 100@mkoa wakati akiwa RC, visima Ni kwa watu wa huko maporini.
 
Hakika CCM imedhamiria haswa.
Mbunge mteule wa Jimbo la Arusha ndugu Mrisho Mashaka Gambo ameanza kutekeleza mojawapo ya ahadi zake alizozitoa jijini humo hususani katika soko kongwe na maarufu la watu wa kipato cha kati na chini ,SOKO LA KILOMBERO.

Mheshimiwa Gambo amewezesha uchimbaji wa kisima cha maji na hivyo kuondoa tatizo la maji sokoni hapo.

MY TAKE:
Tanzania ilichelewa sana kimaendeleo hatuna budi kuchapa kazi kwa kasi kubwa.
Ni kazi nzuri na ameanza vyema, ila ni vyema pia akafanya uyaratibu wa kurekebisha miundombinu ya hilo soko, huwa linanuka sana na tope nyingi hasa kipindi cha mvua ukizingatia Arusha ndio sura ya nchi hasa kwa wageni wanaokuja kutalii.
 
Watu wa Arusha ndio wa kuwafanyia hayo maigizo ya kitoto? Alikuwa mkuu wa mkoa kwa zaidi ya miaka mitatu hapo hapo Arusha, kipi kilimshinda kuchimba hicho kisima? Isitoshe hapo sokoni kuna Mradi mkubwa wa maji safi ya bomba, kwani asitandaze mabomba ya hayo maji safi, bali anapeleka utapeli wa kisima kama yuko huko poroni!

Halafu huyo Gambo eti Ni kijana lakini ana utapeli kwa kizee sana. Ni hivi hajawa mbunge kwa kura bali, ametangazwa kwenye yale maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Hata afanye maigizo ya kitoto vipi hana ridhaa ya watu wa Arusha mjini. Aweke list ya viwanda 100@mkoa wakati akiwa RC, visima Ni kwa watu wa huko maporini.
Amini usiamini, mtazamo huo ndio uliowagharimu upinzani hasa CHADEMA na ACT-wazalendo, kupinga maendeleo. Hivi kwa mtazamo wako unadhani wafanyabiashara wa hapo sokoni watakuelewa?
 
Ni kazi nzuri na ameanza vyema, ila ni vyema pia akafanya uyaratibu wa kurekebisha miundombinu ya hilo soko, huwa linanuka sana na tope nyingi hasa kipindi cha mvua ukizingatia Arusha ndio sura ya nchi hasa kwa wageni wanaokuja kutalii.
Umeshauri vizuri
 
Amini usiamini, mtazamo huo ndio uliowagharimu upinzani hasa CHADEMA na ACT-wazalendo, kupinga maendeleo. Hivi kwa mtazamo wako unadhani wafanyabiashara wa hapo sokoni watakuelewa?

Nasema hivi huo utoto aliofanya ni utoto kama utoto mwingine. Kila mtu anajua ni igizo maana ana miezi mitatu tu toka atumbuliwe kwenye nafasi ya uRC, kwanini hakuchimba akiwa RC hiyo juzi? Hakuna mpiga kura mjinga wa hivyo huko Arusha, ndio maana hata kura za juzi za kumtangaza Gambo, zililetwa na vyombo vya dola na upuuzi kama huo. Hao watu wa Arusha wamepuuza huo uchaguzi, ndio maana hawakujitokeza kushiriki huo ushenzi. Hilo Soko limezungukwa na mradi mpya wa maji, hayo maji ya kisima yenye kinyesi nani anataka?
 
Nasema hivi huo utoto aliofanya ni utoto kama utoto mwingine. Kila mtu anajua ni igizo maana ana miezi mitatu tu toka atumbuliwe kwenye nafasi ya uRC, kwanini hakuchimba akiwa RC hiyo juzi? Hakuna mpiga kura mjinga wa hivyo huko Arusha, ndio maana hata kura za juzi za kumtangaza Gambo, zililetwa na vyombo vya dola na upuuzi kama huo. Hao watu wa Arusha wamepuuza huo uchaguzi, ndio maana hawakujitokeza kushiriki huo ushenzi. Hilo Soko limezungukwa na mradi mpya wa maji, hayo maji ya kisima yenye kinyesi nani anataka?
Kwa hali hiyo CCM itatawala sana. Mna chuki binafsi halafu za kijinga sana

Mkuu wa mkoa anachimba kisima Kama nani? Kama unataka kujua unuhimu wa hicho kisima ungewauliza wahusika
 
Kwa hali hiyo CCM itatawala sana. Mna chuki binafsi halafu za kijinga sana

Mkuu wa mkoa anachimba kisima Kama nani? Kama unataka kujua unuhimu wa hicho kisima ungewauliza wahusika

Hiyo shule aliyoipa jina la Gambo aliijenga kama nani akiwa mkuu wa mkoa? Au hicho kisima chenye maji yaliyochanganyika na kinyesi ndio bei ghali kuliko shule? Ccm itatawala milele au vyombo vya dola ndio vitayawala milele? Zile kura za wizi zimeletwa vituoni na vyombo vya dola wala sio kura za wananchi. Hizo siasa za kitoto mbona zilishapitwa na wakati. Kwahiyo amepew kura na vyombo vya dola ili awachimbie wananchi maji yenye kinyesi, huku soko limezungukwa na maji safi ya bomba?
 
Hiyo shule aliyoipa jina la Gambo aliijenga kama nani akiwa mkuu wa mkoa? Au hicho kisima chenye maji yaliyochanganyika na kinyesi ndio bei ghali kuliko shule? Ccm itatawala milele au vyombo vya dola ndio vitayawala milele? Zile kura za wizi zimeletwa vituoni na vyombo vya dola wala sio kura za wananchi. Hizo siasa za kitoto mbona zilishapitwa na wakati. Kwahiyo amepew kura na vyombo vya dola ili awachimbie wananchi maji yenye kinyesi, huku soko limezungukwa na maji safi ya bomba?
Wanasema "don't argue with a fool coz pipo won't notice a difference"
 
Back
Top Bottom