jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Hakika CCM imedhamiria haswa.
Mbunge mteule wa Jimbo la Arusha ndugu Mrisho Mashaka Gambo ameanza kutekeleza mojawapo ya ahadi zake alizozitoa jijini humo hususani katika soko kongwe na maarufu la watu wa kipato cha kati na chini ,SOKO LA KILOMBERO.
Mheshimiwa Gambo amewezesha uchimbaji wa kisima cha maji na hivyo kuondoa tatizo la maji sokoni hapo.
MY TAKE:
Tanzania ilichelewa sana kimaendeleo hatuna budi kuchapa kazi kwa kasi kubwa.
Mbunge mteule wa Jimbo la Arusha ndugu Mrisho Mashaka Gambo ameanza kutekeleza mojawapo ya ahadi zake alizozitoa jijini humo hususani katika soko kongwe na maarufu la watu wa kipato cha kati na chini ,SOKO LA KILOMBERO.
Mheshimiwa Gambo amewezesha uchimbaji wa kisima cha maji na hivyo kuondoa tatizo la maji sokoni hapo.
MY TAKE:
Tanzania ilichelewa sana kimaendeleo hatuna budi kuchapa kazi kwa kasi kubwa.