Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Wanasema "don't argue with a fool coz pipo won't notice a difference"
Ni hivi, serikali hii ndani ya hii miaka mitano iliagiza kila Mkuu wa mkoa asimamie ujenzi wa viwanda 100. Gambo alikuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha zaidi ya miaka 3. Mpigie simu mwambie aweke list ya hivyo viwanda, aache siasa za kipuuzi za kwenda kuwachimbia watu maji yenye kinyesi, wakati soko limezungukwa na maji safi kutoka mradi mpya wa maji. Hizo siasa za ghiliba awapelekee wenye akili finyu kama wewe.