Kutoka Arusha: Mrisho Gambo atimiza ahadi ya kuchimba kisima Soko la Kilombero

Wanasema "don't argue with a fool coz pipo won't notice a difference"

Ni hivi, serikali hii ndani ya hii miaka mitano iliagiza kila Mkuu wa mkoa asimamie ujenzi wa viwanda 100. Gambo alikuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha zaidi ya miaka 3. Mpigie simu mwambie aweke list ya hivyo viwanda, aache siasa za kipuuzi za kwenda kuwachimbia watu maji yenye kinyesi, wakati soko limezungukwa na maji safi kutoka mradi mpya wa maji. Hizo siasa za ghiliba awapelekee wenye akili finyu kama wewe.
 


Jiulize swali mmoja pesa katoa kwenye budget ipi wakati yeye hata hajaapishwa?

Hao waindi wanaotoa pesa za hii miradi unafikiri wanategemea kupata nini?
 
Karne ya 21 unajisifia visima, dah kazi kwelikweli

Tena kisima chenyewe katikati ya mji, huku soko lenyewe limezungukwa na maji safi ya bomba. Kila mkoa kulitakiwa kujengwe viwanda 100, na yeye alikuwa RC miezi mitatu tu iliyopita, kashindwa hiyo sehemu watu wapate ajira, sasa anafanya siasa za ghiliba zisizo na tija.
 
Vichwa panzi wanamkenulia meno
 
Kamanda toeni ushirikiano mpate maendeleo ya kweli.Arusha imeamua kuchagua Mbunge
 
Safi sana Gambo tunahitaji MAENDELEO sio kauli za kuchochea migomo na maandamano.

Uchaguzi umeisha sasa tuijenge NCHI.

URT - JPM
SMZ- Mwinyi
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Uchaguzi utarudiwa aache mchecheto alikuwa wapi kuchimba na alikuwa mkuu mkoa.
Ujue huu ni ujinga mtu awe mkuu wa Mkoa asifanye eti kuchaguliwa ubunge ndiyo afanye tena kwenye kampeni zake alikuwa anajidai anaongelea kero kibao mpaka nikajiuliza huyu ni mpizani au na alikuwa wapi kwani hizo kero hazijatatua akiwa mkuu wako au serikali yao ya ccm hakufanya
 
Kamanda toeni ushirikiano mpate maendeleo ya kweli.Arusha imeamua kuchagua Mbunge

Watu wa huko Arusha ndio juu yao kushirikiana na huyo mbunge waliyopewa na vyombo vya dola. Lakini huyo mbunge juzi tu alikuwa RC, kilimshinda nini kupeleka hayo maendeleo mpaka saa hii awaletee ghiliba za kitoto?
 
Acha upuuuzi
Tanzania 60 years ilikua chini ya chana gani??
Dodoma tu pale mbona hakuna maji?
 
vikao vya mabaraza ya madiwani vimepitisha lini huo mradi? kama ni fedha zake binafsi lazima raia mzilipe, hakuna kitu cha bure duniani.
 
Kwa nn watu wa chuga hatujamzomea huyo fala aliye jichagua kwa msaada ya NEC?
 
duh!!!kweli bongo utachokifanya hakiwezi kumpendeza kila mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…