Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Ole wao wanafiki wanaoshangilia kutungwa kwa sheria kandamizi, tutalia pamoja.
Ni sawa na uwanja taifa Ku seal milango yote ya dharula kubakiza lango moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa Arusha Mjini ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Kijamii wa Twitter ambapo alikuwa akiongelea Bundi aliyeonekana jana kwenye ukimbi wa Bunge wakati wa kikao cha Bunge

Kutokana na kuwepo kwa hali hiyo Job Nduga, Spika wa Bunge aliwatoa hofu wabunge na wageni kuwa, katika mazingira ya kawaida ndege aina ya Bundi kwa wenyeji wa Kabila la Wagogo akitokea mchana hana tatizo isipokuwa Bundi wa usiku.

Hata hivyo, hakuna aliyejua huyo bundi ameingiaje ndani ya ukumbi wa Bunge hasa kutokana na usalama na usafi ndani ya ukumbi huo.

View attachment 1008776
Kama mheshimiwa mbunge anaamini mambo ya uchawi kama hayo inanitia wasiwasi sana kwamba tukipata bahati mbaya hatamu za serikali zikaangukia kwenye mikono ya watu wenye fikra kama hizo nchi ndiyo itakuwa imekwisha kabisa. Bora angeishia kufikiria hivyo moyoni mwake kuliko kujitangaza kwamba anaamini mawazo duni kama hayo.
 
F
Anamaanisha nini swahiba

Sent using Jamii Forums mobile app
Forget about it,mimi huwa nakukubali sana wewe ni mtu isiye na mbwembwe hupenda clean arguments hupendi matusi nilikuwa napenda une huku Chadema.
Tunamkakati wa kupanga timu CCM imepoteza mjadala imepoteza Dira imebaki kutumia mabavu na kutunga sheria kanda mizi well!..historia itakuja kutusuta so please Msasa mimi nakujua wewe ni down to earfh man.
 
F

Forget about it,mimi huwa nakukubali sana wewe ni mtu isiye na mbwembwe hupenda clean arguments hupendi matusi nilikuwa napenda une huku Chadema.
Tunamkakati wa kupanga timu CCM imepoteza mjadala imepoteza Dira imebaki kutumia mabavu na kutunga sheria kanda mizi well!..historia itakuja kutusuta so please Msasa mimi nakujua wewe ni down to earfh man.
Eti wewe ni THINK TANK wa bavicha!
Kuna haja ya ufipa kuingizwa ktk national heritage tupate watalii kuja waangalia na kuingizia nchi kipato. Yaani ufipa watu hawana brains ila wanaishi freshi tu. Hii ni ajabu sana.
 
Vipi kamanda, unalionaje onaje hili suala la bundi bungeni...
Ebu tiririka kamanda!
Ni propaganda tu kama zilivyo propaganda zenye dhamira ya kututoa kwenye malengo ya kufuatilia vitu vya maana ...

Mfano --issue ya utekwaji wa mo baada ya kupatikana likaibuliwa suala la kupambana na ushoga " .... and the likes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti wewe ni THINK TANK wa bavicha!
Kuna haja ya ufipa kuingizwa ktk national heritage tupate watalii kuja waangalia na kuingizia nchi kipato. Yaani ufipa watu hawana brains ila wanaishi freshi tu. Hii ni ajabu sana.
tenor-4.gif

Siku nyingi nilikuwa sijakitana na uharo.
 
Ni propaganda tu kama zilivyo propaganda zenye dhamira ya kututoa kwenye malengo ya kufuatilia vitu vya maana ...

Mfano --issue ya utekwaji wa mo baada ya kupatikana likaibuliwa suala la kupambana na ushoga " .... and the likes

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama watu wamewajua ufipa ni wepesi wa kuwatengenezea matukio na wao wapate muda wa kufanya ya maana, utawalaumu?
Raundi ijayo watapelekwa njiwa weupe kumi juu ya bati la ufipa, ili mjadili amani ya kiinimacho inayoletwa na mungu ufipa kupitia njia weupe.
Likiisha tukio hili, analetwa pweza mtabiri, hapa bendera ya ccm hapa ya chadema na huku vyama vingine. Anaambiwa achague chama kitakachoshinda uchaguzi anaenda bendera ya chadema na nyie mnafurahi na kujikita na pweza. Mkija shtuka stigglers na miradi mingine imeisha, ucjaguzi kesho asubuhi. Mwenzenu ana tangible evidence ya alichoahidi kwa wananchi.
 
Sasa kama watu wamewajua ufipa ni wepesi wa kuwatengenezea matukio na wao wapate muda wa kufanya ya maana, utawalaumu?
Raundi ijayo watapelekwa njiwa weupe kumi juu ya bati la ufipa, ili mjadili amani ya kiinimacho inayoletwa na mungu ufipa kupitia njia weupe.
Likiisha tukio hili, analetwa pweza mtabiri, hapa bendera ya ccm hapa ya chadema na huku vyama vingine. Anaambiwa achague chama kitakachoshinda uchaguzi anaenda bendera ya chadema na nyie mnafurahi na kujikita na pweza. Mkija shtuka stigglers na miradi mingine imeisha, ucjaguzi kesho asubuhi. Mwenzenu ana tangible evidence ya alichoahidi kwa wananchi.
Tangible evidence haha my foot

Million 50 kila kijiji ziko wapi !? Na kuna na kuna sababu zipi za kufanya propaganda kwenye masuala nyeti ambayo yana husu ustawi maendeleo ya taifa ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangible evidence haha my foot

Million 50 kila kijiji ziko wapi !? Na kuna na kuna sababu zipi za kufanya propaganda kwenye masuala nyeti ambayo yana husu ustawi maendeleo ya taifa ....

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujadil8 bundi, utakuja jua hizo tangible evidence na impact yake 2020.
 
Trust noBody

Hii kauli ipo siku watakuja kuielewa, wanampa madaraka mtu mmoja ila ipo siku huyohuyo waliyempa madaraka atakuja kufanya kitu watashangaa.

Tujipe Muda
 
Nimesikiliza angalau kipande cha mchango wa Ndugu George Simbachawene kuhusu muswada wa sheria ya vyama vya siasa,nilichokigundua sasa ipo hoja inapazwa kwa kasi kuwa.....

1.Kufa kwa viwanda nchini Tanzania ni sababu ya uamuzi wa mwaka 1992 wa kuruhusu mfumo wa Vyama vingi nchini.

2.Kufa kwa Mashamba makubwa yaliyotoa ajora za kutosha ni kwa sababu ya uamuzi wa mwaka 1992 wa kuruhusu mfumo wa Vyama Vingi nchini.

3.Uwekezaji ambao haukuwa na tija kwa taifa letu kulisababishwa na uamuzi wa mwaka 1992 wa kuruhusu Vyama vingi.

4.Tatizo la ajira nchini ambalo linakuwa siku baada ya siku limesababishwa na mfumo wa Vyama vingi nchini.

5.Kashfa kubwa za Rushwa kama EPA,Escrow,Richmond,Meremeta,Dowans n.k zilisababishwa na nchi kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi.

6.Kufa kwa Shirika la Reli,Shirika la Ndege/Anga kulisababishwa na uamuzi wa mwaka 1992 wa kuanzisha mfumo wa Vyama vingi.

Ndiyo maana George Simbachawene anasema nchi kama China ina chama kimoja tu na uchumi wake sasa ni imara.

Simbachawene anatamani Tanzania tubaki na chama kimoja ili tujenge taifa lenye nguvu duniani.Sijui kwa nini George hajatumia mifano ya mataifa ambayo yameendelea na yana mfumo wa vyama Vingi?

George Simbachawene ambaye kama sikosei aliondoshwa kwenye Wizara ya Madini na Mh Rais kutokana na kutuhumiwa na Kamati ya Mh Rais ile ya Makanikia,anasema huko nyuma nchi ilikuwa kwenye presha muda wote na akataja harakati kama..

1.Movement for Change
2.Oparesheni Sangara n.k

Kwa mtazamo wa Ndugu Simbachawene,harakati hizi zilichangia kuchelewesha maendeleo nchini.

Nakumbuka harakati hizi zlikuwa zinapiga kelele dhidi ya hiki anacholia nacho Mh Rais Magufuli kila kukicha,wizi,Rushwa,kujilimbikizia mali,Uwekezaji wa hasara.

Je Simbachawene anataka kusema Vyama vya upinzani vingekaa kimya wakati Buzwagi wanawasainisha mawaziri wetu mikataba mibovu hotelini?

Je Simbachawene anasema Vyama vya Upinzani vingekaa kimya wakati baadhi ya Mawaziri,wafanyabiasha na watumishi wa Umma wanagawana pesa za Escrow kwenye sandarusi?

Je Simbachawene alitaka Vyama vya Siasa vikae kimya wakati wakazinwa Nyamongo wanateseka na maji yenye sumu kutoka mgodi wa North Mara,wanapigwa Risasi na wawekezaji?

Je Simbachawene alitaka Vyama vya upinzani vikae kimya wakati wawekezaji kwenye migodi walipojigeuza miungu watu(wasiguswe),walipokuwa wanawahakisha wenyeji kinyama tena usiku wa manane bila fidia?

Je Simbachawene alitaka Vyama vya upinzani vikae kimya wakati wawekezaji hawa walipokuwa wanachimba madini bila kulipa kodi?huku suala la mapato wakilifanya kuwa ni Siri kati yao na Serikali

Je Simbachawene alitaka vyama ya upinzani vikae kimya wakati Twiga wanahamishwa kwenda nje kwa ndege?wanyama wanauwa na wawindaji haramu?

Je Simbachawene alitaka watu wakae kimya huku kuna watumishi wa Umma walikuwa wanakula mishahara hewa?

Je Simbachawene alitaka wapinzani wakae kimya wakati baadhi ya Viongozi wetu wakuu walipoamua kujiuzia mpaka migodi ya madini?

Yaani haya yote,adhabu yake ni kuwazuia wanasiasa wasiseme chochote mpaka wakati wa uchaguzi na wakikaidi Msajili anawafuta katika wigo wa Siasa?

Kwa nini tusitunge Sheria ambazo zitakuja kuwafanya Watanzania wazidi kuwa wamoja zaidi bila kujali tofauti zao za kisiasa,kidini,kikabila na hata kimtazamo?

Kwa nini baadhi yetu kila siku tunawaza kutunga Sheria ambazo zinalenga kubinya haki za wengine?

Kwa nini tufikirie kutunga Sheria ambazo zinatengeneza hofu badala ya Ujasiri?

Mambo haya yanatafakarisha sana sana.
 
Back
Top Bottom