Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Kwanini Mbuzi, papai, fenesi na Kware wawe na Corona?

Hayo ndio mnayaweza kukebehi na kupinga
Mwigulu kaambiwa afuatilie mambo ya kisheria,muda wa kusikiliza hotuba hamna mnakuja humu kupoozana stress tu
Kuna hotuba ya kusikiliza?
 
Yawezekana kabisa kuwa Magufuli ni "akili kubwa"..
Ndiyo... Amewazidi Watanzania wengi akili... Na amewashika vizuri...

Kati kati ya janga la #Covid_19 yeye kajificha kijijini kwake lakini wafuasi wake kawasisitiza waendeleee kuchapa kazi kwa bidii...

Kwa wafuasi wake neno lake ni zaidi ya maagizo...

Lakini wachache wanaomzidi akili wanahoji (nikiwemo na mimi)... Ni kwa nini asijitokeze mstari wa mbele kuungana na wafuasi wake kwenye mapambano...??

Ni kwa nini yeye ajifungie ndani huku akiendelea kuwahimiza wengine wachape kazi...
 
Hayo ndio mnayaweza kukebehi na kupinga
Mwigulu kaambiwa afuatilie mambo ya kisheria,muda wa kusikiliza hotuba hamna mnakuja humu kupoozana stress tu
Yule Rais wa Russia iliyosemekana amepandikizwa na nchi zingine ili Urusi uvurugike na ikavurugika alianza namna hii. Tusipochukua hatua mapema tutajikuta pabaya; jamaa ni pandikizi kabisa.
 
Inawezekana kuna kitu kimegundulika nyuma ya Ugonjwa huu, tuwe makini sana.
Kama wamechunguza, kuna uwezekano wa mengi kutokusemwa wazi na shirika la afya dunia.
Kama ilivyoaminika Iran, China na Marekani katika utafiti wao wa Kijasusi, vipi hapa ?
Safi kabisa umejenga hoja kuntu mkuu,ningependa wote tungejikita katika maswali ya namna hii pengine wataalamu waliomo humu wangepata vya kujibu lakini "vitoto" vya chuo vinabwabwaja mambo ya ajabu siasa siasaaaaaaaa siaaaaaaasa tu tunaboa sana na saaaaana yaaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria ya kupima mapapai?
Ndio mana nasema hukusikiliza hotuba
Huwa mnasubiri Rais aseme mpate sababu ya kuondoa stress
Mapapai ni sampuli ilipelekwa kwa siri bila ya wao kujua,ili kupima accuracy ya maabara
Na hawapeleki kipande cha papaj,wanachukua ute tu na kuandika Daudi Mchambuzi,ngoma inarudi na postive
 
Mkuu nilichofurahi ni kujua kumbe Hata raisi unaweza kuwa hana taarifa za kutosha za mambo mengi tuu!

Wataalamu kwa sisi wapenda kusoma na watafiti wametuambia corona virus wanaweza kuwa kwenye: kiti cha daladala, kitasa cha mlango, nguo tunazovaa, sakafu, kwenye viatu, kwenye wanyama tunaofuga provided vitu vimekuwa exposed kwa corona virus.

Nimaamini hata fenesi, embe, ugali nk vikiwa exposed kwa corona virus vitakuwa contaminated, sijaelewa Mwalimu wa chemistry hajui hilo au anafanya maksudi kwa mambumbumbu!

Najua mtukufu sio msomaji kama wewe na Mimi, naweza tambua hili mosi, uwasilishaji hoja, mbili, ubishani shindanishi, tatu kushindwa kuconnect maada, unfortunately here in Tanzania we have leaders who aren't readers, sio kama mataifa mengine, leaders are knowledgeable! Here leaders are dumps!!
 
Comrade leo mmepima mapapai mangapi?
 
Yule Rais wa Russia iliyosemekana amepandikizwa na nchi zingine ili Urusi uvurugike na ikavurugika alianza namna hii. Tusipochukua hatua mapema tutajikuta pabaya; jamaa ni pandikizi kabisa.
Hatua gani?
 
"Nimaamini hata fenesi, embe, ugali nk vikiwa exposed kwa corona virus vitakuwa contaminated, sijaelewa Mwalimu wa chemistry hajui hilo au anafanya maksudi kwa mambumbumbu!"

Japo umesema wewe msomaji ila kupitia hiki kitu wewe husomi mkuu

Kaelezea yote hayo hebu fuatilia usipende kusikia habari toka kwa kina kigogo mkuu,,,,

Mapapai,fenesi nk kasema sample walizochukua hazikuwa exposed na virus,halafu wewe nae hata bila kufikiri tu usiwe unaona mtu kuitwa Rais ni jambo dogo, to Rais ni taasisi hawez akaongea kama unavyotaka kutuaminisha hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…