Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #341
Mkuu Victoire, hili la kusomea sheria kwa miaka 20!, this character assasination!. Akili hazifanani, wengine wanaweza kusoma miaka 3 waka graduate na wengine miaka 20!, kitu cha muhimu ni kuhitimu!.Acha ujinga J's hotel.Hoteli ya Magufuli ndo imekua Ikulu. Ndo wonder ulisoma degree ya law kwa miaka 20
Ndiyo amelinganisha na namna ulivyoiita hotel kuwa ikulu.Mkuu Victoire, hili la kusomea sheria kwa miaka 20!, this character assasination!. Akili hazifanani, wengine wanaweza kusoma miaka 3 waka graduate na wengine miaka 20!, kitu cha muhimu ni kuhitimu!.
P
Iam sorry brother. Ni hasira imenishika ndo maana nikaingiza la degree. Ila kweli J's hoteli tokea lini imekua Ikulu ?Hapo ndo kwenye point.Mkuu Victoire, hili la kusomea sheria kwa miaka 20!, this character assasination!. Akili hazifanani, wengine wanaweza kusoma miaka 3 waka graduate na wengine miaka 20!, kitu cha muhimu ni kuhitimu!.
P
Ila mkuu alternative medicine ni kama dawa mbadala ila alternative therapy ndo neno sahihi na fikiri therapy means tiba
Point ni niniSasa point yako nini?
Unaacha kufata vitu vya maana unashughulika na ujinga.
Apology accepted.Iam sorry brother. Ni hasira imenishika ndo maana nikaingiza la degree. Ila kweli J's hoteli tokea lini imekua Ikulu ?Hapo ndo kwenye point.
Inaelekea una hoja sijakuelewa. Rais yupi alipandikizwa? Yelsin? ???? (spelling)
Huo muda Bora niutumie kuangalia marudio simba vs yangaKwa wale ambao mlichelewa saa hizi hotuba hiyo inarudiwa TBC saa hizi.
P
Na wewe unamuamini kabisa?,pole yako.Dah! yaani wamepeleka sampuli za hovyo hovyo badala ya kupeleka za binadamu, mtaalamu atapima kile alichopelekewa na kusoma majibu. Ukimpotosha kwa kumpa kitu tofauti apime linakuwa siyo tatizo lake.....ina maana unataka afanye kazi ya ziada ya forensic ili aweze kugundua kama hiyo sampuli ni genuine na hilo linaweza kufanywa na maabara tofauti au na wataalaamu tofauti, huna haja ya kufuata mlolongo wote huo....kuna namna bora ya kuthibitisha majibu ya vipimo hasa kama utakuwa umefanya 'rapid test' itabidi ufanye 'confirmatory test' hasa kwa zile sampuli ambazo ni positive au zile ambazo una mashaka na majibu yake......ila chonde chonde usipeleke sampuli ambazo hazikukusudiwa kwa lengo la kuwalaghai wapimaji...
Yawezekana kabisa kuwa Magufuli ni "akili kubwa"..
Ndiyo... Amewazidi Watanzania wengi akili... Na amewashika vizuri...
Kati kati ya janga la #Covid_19 yeye kajificha kijijini kwake lakini wafuasi wake kawasisitiza waendeleee kuchapa kazi kwa bidii...
Kwa wafuasi wake neno lake ni zaidi ya maagizo...
Lakini wachache wanaomzidi akili wanahoji (nikiwemo na mimi)... Ni kwa nini asijitokeze mstari wa mbele kuungana na wafuasi wake kwenye mapambano...??
Ni kwa nini yeye ajifungie ndani huku akiendelea kuwahimiza wengine wachape kazi...
Ameona kuwa wale madokta na maprofesa wamemwangusha sana!Pascal Mayalla,
May be nipo nje ya mada, hivi ccm mle Bungeni ina wabunge wangapi kiasi cha rais kurudia wale wale wale aliowatumbua before? Au wengi wao ni vilaza wenye akili za kukonga meza na kuomba ndiyooo!!!!
Hapo ndio tufungue macho! Nawaonea huruma waliojipeleka kupima huku wakiwa hawana dalili corona kisha wakaambiwa wana corona!mafenesi, mbuzi, kondoo, papai zina corona!!!!