Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Kwanini Mbuzi, papai, fenesi na Kware wawe na Corona?

Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Kwanini Mbuzi, papai, fenesi na Kware wawe na Corona?

Acha ujinga J's hotel.Hoteli ya Magufuli ndo imekua Ikulu. Ndo wonder ulisoma degree ya law kwa miaka 20
Mkuu Victoire, hili la kusomea sheria kwa miaka 20!, this character assasination!. Akili hazifanani, wengine wanaweza kusoma miaka 3 waka graduate na wengine miaka 20!, kitu cha muhimu ni kuhitimu!.
P
 
Giza laendelea kutanda,mapopoma wanashangilia tu,Kama Corona sio tishio basi tutoke kijijini turudi mjini,PERIOD!
 
Mkuu Victoire, hili la kusomea sheria kwa miaka 20!, this character assasination!. Akili hazifanani, wengine wanaweza kusoma miaka 3 waka graduate na wengine miaka 20!, kitu cha muhimu ni kuhitimu!.
P
Ndiyo amelinganisha na namna ulivyoiita hotel kuwa ikulu.
 
Mkuu Victoire, hili la kusomea sheria kwa miaka 20!, this character assasination!. Akili hazifanani, wengine wanaweza kusoma miaka 3 waka graduate na wengine miaka 20!, kitu cha muhimu ni kuhitimu!.
P
Iam sorry brother. Ni hasira imenishika ndo maana nikaingiza la degree. Ila kweli J's hoteli tokea lini imekua Ikulu ?Hapo ndo kwenye point.
 
Dah! yaani wamepeleka sampuli za hovyo hovyo badala ya kupeleka za binadamu, mtaalamu atapima kile alichopelekewa na kusoma majibu. Ukimpotosha kwa kumpa kitu tofauti apime linakuwa siyo tatizo lake.....ina maana unataka afanye kazi ya ziada ya forensic ili aweze kugundua kama hiyo sampuli ni genuine na hilo linaweza kufanywa na maabara tofauti au na wataalaamu tofauti, huna haja ya kufuata mlolongo wote huo....kuna namna bora ya kuthibitisha majibu ya vipimo hasa kama utakuwa umefanya 'rapid test' itabidi ufanye 'confirmatory test' hasa kwa zile sampuli ambazo ni positive au zile ambazo una mashaka na majibu yake......ila chonde chonde usipeleke sampuli ambazo hazikukusudiwa kwa lengo la kuwalaghai wapimaji...
Na wewe unamuamini kabisa?,pole yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hongera Sana kweli mwenye bahati habahatishi!
Tulikusema Sana kuwa umetupwa!
Lakini umesimama Tena!
Kweli nimeamini Mkumbo alikuwa anafuata mamba kwenye kina kirefu!
Kwa siasazilizokuwa zinarndelea Iramba umelamba dume!
Pamoja na kuwa kimsingi huwa sikuungi mkono...ila ninavomfahamu Prof Mkumbo Ni heri UENDELEE tu kuwa mbunge ...maadam Wanyiramba bado wamelala usingizi wa pono!
Kwa heshima ya pongezi zangu hebu ukifika Kitusha pause kidogo tutafakari,tule nyama! kidogo.
Unajua angalau wewe uanukia waridi...Kinampanda!
Ukizingatia magorofa ulisnza kuyaona Hapo.
Ingawaje wewe ulidanganya umma kuwa uliona ghorofa la kwanza Ilboru!
Safari bado ni ndefu...Kwenye Siasa miaka Elfu Ni Kama siku moja:na Siku moja Ni Kama miaka Elfu,
Hongera Mayu ...Mayu kukuekelie matima anga kishela...kalibu saana!
 
Waziri wa sheria na mambo ya katiba ameagizwa kwenda kuichunguza maabara ya taifa kwa sababu ina kontrovesio nyingi.
 
Huyu ndiye rahisi mkuda na jasiri sijapata ona
Natamani ningekuwa na ujasiri kama wako mhe rais
Nakukubali sana
 
Huko mstari wa mbele ndo wapi? Yaani aje dar and then?
Yawezekana kabisa kuwa Magufuli ni "akili kubwa"..
Ndiyo... Amewazidi Watanzania wengi akili... Na amewashika vizuri...

Kati kati ya janga la #Covid_19 yeye kajificha kijijini kwake lakini wafuasi wake kawasisitiza waendeleee kuchapa kazi kwa bidii...

Kwa wafuasi wake neno lake ni zaidi ya maagizo...

Lakini wachache wanaomzidi akili wanahoji (nikiwemo na mimi)... Ni kwa nini asijitokeze mstari wa mbele kuungana na wafuasi wake kwenye mapambano...??

Ni kwa nini yeye ajifungie ndani huku akiendelea kuwahimiza wengine wachape kazi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pascal Mayalla,
May be nipo nje ya mada, hivi ccm mle Bungeni ina wabunge wangapi kiasi cha rais kurudia wale wale wale aliowatumbua before? Au wengi wao ni vilaza wenye akili za kukonga meza na kuomba ndiyooo!!!!
Ameona kuwa wale madokta na maprofesa wamemwangusha sana!
 
Back
Top Bottom