Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Kwanini Mbuzi, papai, fenesi na Kware wawe na Corona?

Kwahiyo hakuna Corona?
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nani kakwambia hakuna Covid-19, hakuna dawa hivi sasa, tunaongelea hujuma, i.e. sio kila anayekufa ni kwa sababu ya Covid-19 pekee.
 
Ushauri wangu wa bure tu kwa Mwigulu ni kuwa azingatie sheria,utwala bora na si amri au mihemuko.
 
Hivi sampuli ya kupima corona huwa nini? Kama ni damu papai pia lina damu?
kwa kawaida sample collection inaweza kuwa damu,mate,mafua pia ila hapo hakuwa na mana iyo.ujue ata kwa akili ya kawaida tuuh Ni ngumu virus wa corona kumultipley in plant cell na papai kuadhirika
Kwaiyo unadhani alimanisha kuwa papai Ni halali kuwa na corona? open your mind Apo ana manisha Kuna tatizo in our laboratory test iyo ndio mana halisi huwenda Kuna upikaji wa samples report
 
Hahahaaaaa wasomi wa Mahabara yaani usigundue. Sample ya mwanadamu na tunda! Mimi Furaha yangu ni moja tu!

Mbowe na waliomtuma wamegonga Mwambasi, Their dirty game has been revealed!

I am very sorry with opposition members of parliament, ambao wanaburuzwa! Halafu hi si ndiyo bunge la mwisho kuelekea uchaguzi eheee! Hahaaa mtakosa hata hela za kuwawekea Vocha wapiga kura wenu.

Your boss is having a deal na watu Fulani! Yeye Anapiga pesa ndefu, nyie mnafuata Mkia.
 
Kweli kifo kinaogopwa jamani, yaan mzee kaukimbia mji mazima! Daah, we Corona toka baba yetu arudi mjini! R.I.P Mahiga huwezi amini Maderu ndio karithi cheo chako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichopima leo toka kwenye ile hotuba inaonekana JPM ni member wa Jf maana mambo yote ya kipuuzi ambayo huwa mnaandika huwa anayasema. Mfano hili la kujichimbia Chato.
 
Mzee Paskali acha kutuongopea, Ikulu-chato?? Msigwa mwenyewe kasema tu Chato mkoani Geita. Chato hakuna Ikulu. Rais yuko kwenye self isolation, hii ni karne ya 21 hauwezi kuwadanganya watu kwa propaganda.
Kama ni self isolation aide de camp angekuwa nyuma yake wakati anahutubia? Au self isolation mimi inanichanganya?
 
Wewe ndyo umeenda shule na ukaelimika!

Sent using Jamii Forums mobile app
Na huo ndio utaratibu, validation iki fail maana yaje hiyo machine au chemicals in question hazifai kutumika kufanya any human testing.
Errors needs to be investigated and corrected siyo kudhalilishana hadharani. So far hatujui kosa liko wapi, ni machines au chemicals au wataalam walio husika. Sasa anapolaumu anatakiwa awe specific kwa kueleza, what was wrong.
Ni kweli uchunguzi ufanyike tufahamu tatizo liko wapi.
 
Na pengine labda walistuka nao wakaamua kujifanya machizi zaidi kwa kumpa positive. Na mtu kama huyu ili kumfanya asizidi kuwa mwenye michezo ya kitoto unampima naye unampa positive
Mimi nadhani hizo positives kama zipo zilitokana na hao watu wa rais waliohusika kuaandaa hizo specimens... Akiwemo na yeye mwenyewe!
Kwa jinsi alivokuwa akikohoa bila shaka sampuli yake ilirudi na majibu positive na hataki kuyakubali!
To be honest tunaye rais ambaye ni muongo kuliko waongo ninaowafahamu...

Kwa akili zangu zitamamu niliona akisoma kwenye kikaratasi na kila alipokuwa akitaja sample majibu yaliyorudi yalithibitisha kuwa mashine wa haina shida...
Alisoma maneno kama "inconclusive", "unidentified" n.k alipoona atauumbuka akaacha kusoma kimemo...

Nadiriki kusema kuwa kwa sasa ni kama Magufuli kama amejisogeza Chato asubirie kifo cha namna yoyote ile!!
 
1. Kuna wanaosema niifunge Dar sababu ya Corona, siifungi nilishalisema. Watanzania waache uoga wachape kazi. Wanasiasa waache maneno maneno.
2. Wengine wanasema nimekimbia nipo Chato. Kwani Chato sitakiwi kuwepo? Hapa ndipo nilipozaliwa na nikifa nitazikwa hapa. Ningeenda Moshi wangesema nimekimbilia Moshi. Ili uonekane hujakimbia sijui wanataka uwepo wapi? Tuache siasa za ajabu.
3. Mambo ya kucopy na kupaste nchi hii hatuwezi kufanya. Wapo waliofunga mipaka na shughuli za kiuchumi mnaona wanavyoteseka. Sisi tuchape kazi.
4. Nafikiria kufungulia hata ligi ya mpira iendelee maana mpaka sasa sijaona mchezaji yeyote mwenye corona. Ligi iendelee watu watizame hata kwenye TV.
5. Nilimuona Mkuu wa mkoa wa Mtwara akisema DC Mmanda amefariki hatuwezi kusafirisha atazikwa hapahapa. Ilinisikitisha sana. Kama madaktari wanawahudumia wagonjwa wa corona kwa kuvaa PPE, walishindwaje kuivisha maiti ya Mmanda PPE na kuisafirisha kwenda Moshi akazikwe kwao kwa heshima?
6. Wengine wapo Dar wanasema watu wasiende bungeni. Nimeagiza wasilipwe posho maana utalipwa kwa kazi uliyofanya. Kama umekimbia kazi unategemea kulipwa nini?
7. Inawezekana hivi vipimo vyenyewe sio salama, vimetengenezwa kwamba vikipima watu 30 anayefuata lazima akutwe na Corona. Mimi ni mwanasayansi naelewa ninachosema. Natoa wito kwa nchi za Afrika zianze kufanya uchunguzi kuhusu hivi vipimo (test kits) maana hatujui nia ya waliovitengeneza.
8. Tulifanya mambo kadhaa ili kujua ubora wa Maabara tukapeleka sampuli za wanyama, ndege na vitu vingine bila wao kujua, tukazipa majina ya watu, tumepeleka sampuli ya mbuzi akawa positive, kondoo Negative, mapapai nayo positive, maana yake mbuzi na mapapai yote yana corona. Inawezekana wafanyakazi wa Maabara zetu wanatumika na Mabeberu ili ugonjwa huu uonekane ni tishio.
9. Sina imani na Mkuu wa maabara ya taifa maana haiwezekani tupeleke sampuli za papai, mbuzi na kware zionekane zina Corona
10. Huu ni wakati wa kuwapima imani hata viongozi wetu wa dini. Unawazuiaje watu kwenda kanisani au msikitini wakati hujajenga wewe?
 
Yeye
Yeye kajificha lakini Watanzania wanakufa na wateendelea kufa kama hatatabadilika. Watafute suluhisho la mapungufu badala ya kujilaumu wenyewe nani kanunua vifaa? Hakuna nchi kwa wakati huu mgumu yenye muda wa kutaka Watanzania wafe hakuna na wala si kweli. Je ni vipimo vingapi kama ni hivyo ambayo vimeonyesha watu hawana kumbe wanao. Kuna wrong positive na wrong negative sasa tusiangalie upande mmoja vyote vinawezekana na inawezekana hata wrong negative ikawa kubwa zaidi
 
Jina ni utambulisho na una weza kubalisha mara nyingi tuu mradi iwe kisheria,
Ndio unaweza kubadilisha ila kwa yeye hajabadili jina bali alitumia jina la mtu mwingine kama unajua mambo ya elimu tena mtu akifaulu kama hajaja shule unaonga mwalimu unatumia jina la huyo mtu.
 
Kitu pekee ninachokijua ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Mtwara hana muda mrefu katika hiyo Nafasi na ajiandae tu Kisaikolojia.
 
Arudi Ikulu anafanya nini huko kwa muda wote huu anaonyesha wananchi kama anaogopa . Vilevile wasijaribu kila kitu kuwaingiza wapinzani kwenye hili wamakuwa kama Watanzania wengine tu. Inamaana hata wabunge hakuna uhakika wa vipimo vyao hivyo huwezi kuwalaumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…