Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Kwa sababu serikali yake imeamua kututisha,yaani Magufuli anachoongea na kinachofanywa na serikali anayoiongoza ni vitu viwili tofauti. I think Kati ya Magufuli na serikali Kuna mmoja hayupo TanzaniaKuna mambo mengi ya kushangaza kuhusu Corona!. Kwanini watu wasizikiwe kwao?.
Kwanini Evod Mmanda amezikwa Mtwara kwa lazima ambao sio kwao!.
P