Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Nimempenda Mwigulu,Serikali ihamie Dodoma safi sana,Dar Ipumue sasa
Kesho nitatangaza nia kupitia UKAWA
Alikua ana cheza cheza wakati Mwigulu kaingia.
Amekosea kwa kuanza anamnanga LOWASSA. Ina maana makongoro akitangazia nia butiama itakuwa kosa?
Toa sababu.
Hapana kuna uongozi usio na kikomo kama Chadema, Cuf.hivi ccm kuna demokrasia?