Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,563
Hivi jana mbona star tv hawakurusha live wakati lowassa anatangaza nia?
Lowasa hakuwalipa start tv.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi jana mbona star tv hawakurusha live wakati lowassa anatangaza nia?
Huyo amechoropoa mimba mingi sana za Mwigu mpaka hawezi kuzaa tena
Chadema hakuna demokrasia kabisa,Kuna mgombea wa kudumu mzee Slaa
Simba wa Yuda ni Yesu Kristo pekee mbona unampa utukufu usio wake.
Tujiulize swali Hili.Amewahi kuifanyia nini tanzania ili tukumbuke tumlipe fadhila kumweka pale patakatifu?
Huyu jamaa yuko vizuri sana ana kalba ya uongozi, hafanani ata kidogo na yule aliyekuwa anasoma kila kitu mpaka ccm oyeee.
Huyu aliyefumaniwa na mke wa mtu kule Igunga naye ameita viongozi wa dini?
Kila mtu anatumia ushaifu wa mwenzake kujinadi.
Na anamwaga kweli sera zinazowahusu Watanzania. Mpaka sasa mmmmmh! Kutakuwa na kazi ndani ya ccmNgoja tuone mzalendo akimwaga sera
Ila jamaa high table yake sijaelewa! !? Mke , mume na watoto kwisha duuuuh!
Chadema hakuna demokrasia kabisa,Kuna mgombea wa kudumu mzee Slaa
Mbona mwigulu hatuelezi sera zake jamani? Au bado? Hizi stori zake za maisha yake kwa sasa hazitusaidii.
Dah aliyemuoa kalamba Garasa huyo ndo mana alikua anajichezesha chezesha mbele yake.