Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Simba wa Yuda ni Yesu Kristo pekee mbona unampa utukufu usio wake.

Hapana siyo Yesu peke yake. Labda hata Biblia husomi umekariri tu.
Hivi hilo jina la Simba wa Yuda hujui hata chanzo chake??

NB: H.I.M (Haile Selassie) naye alikuwa akiitwa simba wa Yuda. Je naye alikuwa Yesu??
 
Tujiulize swali Hili.Amewahi kuifanyia nini tanzania ili tukumbuke tumlipe fadhila kumweka pale patakatifu?

umekosea sana hatuhitaji mpaka mtu afanye kitu. Tunahitaji mtu wa kutuvusha mpaka pale tunapotaka
 
Jina lenyewe sio lake asije akawa rais WA kwanza afrika anayetumia jina LA MTU mwingine kwanza mwenyewe amaweza akaibuka kulidai wakati anaapishwa,mfano Mimi lameck mwigulu nchemba mwenye jina lake anaibuka,itakuwaje? Yaani wagombea WA ccm ni majanga matupu
 
Uelewa anaouzungumza hakuna MTANZANIA asiyeujua.

Nonsense.

Eti mke wake alipika mama lishe. Hopeless
 
Hivi kutokea kwenye background ya kimasikini ndo kunakufanya uwe kiongozi bora..?
 
mke wake alipika mama lishe,wengine waliliibia TAIFA,Mwigulu anafaa walau ananikosha kafika hapo alipo siyo kwa kuiba na Rushwa
 
Back
Top Bottom