Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

At least leo mtangaza nia kidooogo ana vision ..kww mbeleni atawafaa endapo akiacha kutumiwa kuwanyanyasa wapinzani
 
Nchemba anajitahidi haswa ukilinganisha na wanachama wengine ndani ya ccm.Natambua kuwa anaweza kuwa mzuri ila system ikawa ishu,lakini pia dunia ya leo imebadilika sana kwahiyo licha ya kuwa na ilani ya chama lakini mgombea mwenyewe lazima awe na mawazo yake kwanza.
 
Hivi watu mtakuja kusema nini mtakapogundua Mwigulu ni team Lowassa?
 
Jamaa ana IQ kubwa kuliko umri wake na kuliko kichwa chake. Ni shiiiiiiidah
 
Uyu jamaa kichwa to be honest, though inaweza ikawa muvi nyingine nayo
 
mwigulu bado sana

yuko time consious na speech ni very pre mature
 
Hv mgombea wa ccm anavyoongelea vitu kama atahakikisha maji yanakuwepo, tuwaeleweje, wamefanya nn kama chama tawala kuleta maji na mpk tusubiri achaguliwe kuwa rais

anaongea kama wapinzani na chama chake kina ilani yake ambayo ataitekeleza hiyo na sio haya anayoongea.
 
Hata mimi nitafanya kila mbinu Mpaka nipate kitambulisho by any means aisee sitakubali. Kumbe kuna wanaoandika hadi majina makubwaaa😱

Hadi namba za simu.Ila alitoa sharti la kuchukua kadi ya magamba baada ya kujiandikisha, halafu ikitokea mikutano atakua anatutafuta.
Nikishapata kitambulisho atanichukiaje? Hizo chenga atakoma mwenyewe.
 
Back
Top Bottom