Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Mwigulu anayoyasema Chadema walisha tuambia je! Utaweza peke yako wakati magamba yamegoma kuondoka na jana yaliwatikisa ili kutishia chama kiogope?
 
Haya maneno matamu hata JK aliyasema 2005.

Hatutaki blablaa, tunataka maamuzi magumu.

Soko la kkoo walilisafisha lakini sasa vile vibanda vya chuma vimerudi upyaaa kuwasahaulisha lakini kautafiti nilikofanya wamesema hawadanganyiki.
 
Hana maamuzi ni advisor tu, haki yake mpeni aisee, anafaa kuwa PM wa Lowassa huyu nchi itanyooka, hajaanza kuyasema leo hata bungeni tunamuona akiyasema tangu alipopewa unaibu.
Wewe na Richmonduli asali na maji? Tulishakuambia hafai.
 
Unadhani 2025 hamna watu wanataka urais? Kuna akina January, Nchimbi, Mtoto wa mwinyi, na yule wa mkwere! Kaa chonjo Sana! Halafu usimsahau Kigwanocs

Me nimetoa Mawazo tu kuhusu Nchemba nafikiri hii thread inamhusu nchemba. Kama nitakuwa hai na hao uliowataja kuwa hai pia, nitazungumzia hao wote endapo watakuwa bado na nguvu ya kuutaka urais
 
So far Mwigulu anaongoza, kisha Wassira ladt yule wa jana.

Mawazo yangu
 
Ila kusema kweli Mwigulu anafaa sana kuwa Rais.. Hayo anayoyasema sio tu anayasema kufurahisha genge ila najua kabisa anamaanisha.

I met him 2008 pale ofisini kwake BOT Arusha kabla hajaingia kwenye siasa.. Na haya anayoongea yalikuwa yanamuumiza tangia kipindi hicho. Kuwa kwake Naibu waziri kwenye hii rotten system hakuwezi kushusha credibility yake kwa maana yawezekana ana nia ya dhati kabisa ila wengine ndio wanamwangusha. Kwa CCM mtu pekee ambaye labda naweza kumpa kura yangu ni huyu jamaa..
 
Hunizidi mimi nina hamu balaa.Ila nisivyopenda kukaa kwenye foleni mbona nitakoma?
Ila itabidi nijidai mimi gamba maana kuna mjumbe wetu ni gamba alisema magamba yatapewa kipaumbele....nilishaandika hadi jina.

Hata mimi nitafanya kila mbinu Mpaka nipate kitambulisho by any means aisee sitakubali. Kumbe kuna wanaoandika hadi majina makubwaaa😱
 
Maliza hotuba mwigulu unaanza kuwaboa wajumbe weka ile maneno ya Richmond
 
Hotuba take ni nzuri sana ila hatapata watendaji kwani atazungukwa na genge la wezi.mawazo take hayatapa nafasi ingawaje ni mazuri sana.
 
Wewe mkata viuno wa Diamond punguani kweli mimi nawakubali wote hata Padre Slaa hana uwezo wa kujenga hoja kama Mwigulu.

Nawashauri UKAWA kura zao wampe Mwigulu akikatwa CCM aje kugombea UKAWA.

Teh Teh UKAWA imekula kwao mazima....
 
Back
Top Bottom