Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais


Aaa wapi! kwa hili unajikosha na kutetea bihashara zenu chafu! kwani hatujui jinsi mnavyo fanya reparkaging? Acha kabisa!!!
 
Anailalamikia serikali yake na chama huu ni ujinga angejiondoa kwanza huko ccm sasa wapinzani tunalalamika na watawala nao wanalalamika huu ni usanii tuuu
 
Ww ni mtanzania gani ambaye mtoto wako au mzazi wako anaumwa kisha unaenda hosp kwa matibabu unaambia dawa hakuna kanunue dawa hapo duka jirani na hosp then unakuta dawa ambazo zilistahili kuwepo hospitali?
 
Hahaha labdo ndo tez lilishaanza, el ameshauri wakapme japo majibu yatakuwa siri ya dr na mgonjwa
 
kuna jamaa mmoja anataka kugombea ubunge kupitia ccm nae anatumia kauli hii "NITAWAVUSHA" nishamshtukia kumbe team mwigulu

Wanataka kutuvusha kutupeleka wapi mkuu .watanzania wasitegemee mabadiliko au maendeleo yoyote chini ya utawala wa ccm tena wameshindwa kwa miaka 53 miaka 5 watafanya miujiza?
 
Tusiwe wajinga wa kufikri yeye alikuwa anazungumzia wizi wa dawa mahospitalini na kwamba dawa hizo hupelekwa kuuzwa kwe maduka ya nje hivyo amewalenga wale wanaoiba dawa na si wengine.
 
Jana na leo..!! Ndio maana watafungwa endapo watakachofanya sicho. Hakusoma hotuba iliyo haririwa alisema anayoyajua na kuyaishi kama mtanzania wa kawaida.
 

Yap ulikuwa mbaya na kwake yeye umekuwa mbaya zaidi na zaidi, si mwanauchumi yeye atleast ningetegemea angeokoa jahazi lisizame kabisa lakini kwake yeye tunaona ndo tunazidi kuzama kabisa, yeye ni msafi sawa unakumbuka majibu yake ya Escrow account pale bungeni zaidi ya kutupiga changa LA macho? yeye si mpiganaji wa rushwa mbona ameshindwa kushughulikia hayo machache kny utawala wake mdogo wa uwaziri ndo seuze nchi ataiweza?? Analalamika na mfumo mbovu wakati naye yumo ndani? Basi kifupi naye ni mbovu.......... Sera hizi hizi ndo zilimuingiza Kikwete matokeo yake leo tunalia tu....... Hakuna jipya kabisa wote ni wale wale.........
 
Dr hawa viongozi wetu hawajui hata regulations zinazoandaliwa na mawaziri wenyewe achilia mbali sheria zinazotungwa na bunge, ila si shangai kulisikia hili ni watu wengi tu hawafahamu mambo mengi sana kuhusu taratibu za nchi niliwahi kuhudhuria semina moja mtoa semina alikuwa mhadhili wa chuo kimoja hapa nchini alimimina matango ambayo hayapo popote hapa nchini japokuwa semina ilikuwa specific sana mpaka ikapoteza maana

kwahiyo Mwigulu kukurupuka sishangai ndiyo cream ya ccm iliyopo.
 
Wanataka kutuvusha kutupeleka wapi mkuu .watanzania wasitegemee mabadiliko au maendeleo yoyote chini ya utawala wa ccm tena wameshindwa kwa miaka 53 miaka 5 watafanya miujiza?

Slaa atagombea tena mwaka huu?
 
wakati muda wote nasoma sikujua kuwa nasoma bandiko la pasco hadi nilipofika hapo ulipojitambulisha, ki ukweli mi naona mwigulu kaamua kutuvusha kikwelikweli, kikwazo ni kuwa ccm hawati mtu aina ya mwigulu, mama yangu kila siku analia akimkumbuka sokoine
 


kilichonishangaza kwa huyu jamaa ni kulalamika

wewe ni naibu waziri wa fedha alafu unalalalamika ......................................hawa ndio dizaini ya aliyopo madarakani

sina uhakika kama kawaeleza watanzania zile pesa za stanbink zilichuliwa katika mazingira gani amabyo kama naibu waziri wa fedha ameshindwa kujua hiiiiiiiii ndilo swali langu kwa huyu kijana na kama haikuwa rushwa je zililipiwa kodi haya mabo watanzania hatutakiwa kuyaacha yapite hivi
 
Yeye hajakaa mda mrefu serikalini msimfananishe na akina Lowassa isitoshe hata mda huo mfupi aliokaa madarakani hakuwa na maamuzi. Ila pale alipopata nafasi kidogo motto wake bungeni hata sisi wa upinzani tunamkubali. Kweli Lowassa amechemsha angesubiri wamalize wote apate cha kuongea.
 
Nadhani mwigulu kaeleweka kwa watanzania wa kawaida sana! Katika mazingira ya kawaida sana." Kama nyote mliokuja hapa mnataka kurudi mjini nauli ya daladala itapanda" ni lugha nyepesi inayoeleweka kwa Watanzania wengi.
 
Wanataka kutuvusha kutupeleka wapi mkuu .watanzania wasitegemee mabadiliko au maendeleo yoyote chini ya utawala wa ccm tena wameshindwa kwa miaka 53 miaka 5 watafanya miujiza?
mwigulu na huyo jamaa wako serious kwakweli tatizo mfumo wa chama chao ni shida
 
JK nadhani katika succession plan Huyo ni mmojawapo unadhani alipata unaibu Katiba Mkuu kwa bahati Mbaya?
Uliona alivyokuwa awekwa karibu na marais Wastaafu?
 
Nasikia mabasi mengi jana yalokuwa yakienda Arusha toka mikoa tofauti yalikodiwa na team Lowassa tax lodge etc. Who paid them where the find come from? Why they funded it...!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…