Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Na nyie muache kuiba dawa! Mnaua watanzania kwa tamaa zenu za kijinga.
 
Mtoa hoja huwezi geuza jiwe kuwa boflo...wewe msubiri kigwangala wenu...akimaliza Doctor kutia nia yake urudi tena humu kusifia.
 
Anailalamikia serikali yake na chama huu ni ujinga angejiondoa kwanza huko ccm sasa wapinzani tunalalamika na watawala nao wanalalamika huu ni usanii tuuu

Bonge la usaniii kabisaa ,miaka yote yuko humo leo 2015 ndo anaona mfumo mbovu?? Jamani hivi wanatuona sisi ni wajinga eeh?
 

inawezekana anavyo ila hatujaviona kwa sababu mazingira ya kuvionyesha hayajatokea. Sasa ni bora kumpa membe kwa sababu ana uzoefu kwenye diplomasia? Hatuwezi kupata kiongozi mwenye sifa zote ila kama zile za msingi sana zipo na apewe tu hiyo nafasi, by the time anamaliza miaka mitatu atakuwa ameshapata uzoefu. Umenikumbusha Morgan Tzivangirai alivyoenda ulaya akaenda kuhutubia kwenye podium yenye bendera ya nchi mwenyeji! kalikuwa kaaibu ka aina yake lakini bado aliendelea kubaki na sifa ya kiongozi mahiri wa upinzani. alichokifanya pale hatakirudia tena, alijifunza.
 
Madaktari ni wezi sana wa dawa,,tena sio kufungwa tu INATAKIWA MNYONGWE KABISA,Mnasababisha vifo vya watu kwa kolukosa dawa mahospitalini.
 
Kwa Nondo hizi Padri slaa kamwe hagusi ikulu...labda akaombe kugombea Urais wa ma Padri wastaafu Tanzania....

Mkuu vivyo ndo vitu vya Dr, Mwigulu amedhilisha kua ccm ni chama cha majambazi na hawezi kutimiza anachokiamini ndani ya CCM.
 
Mwigulu yuko vyema kichwani. Lowassa ni show tu za mabraza meni, mission town na ma sista du. Halafu mafisadi papa wanadhamini event.... Pathetic
 
Anailalamikia serikali yake na chama huu ni ujinga angejiondoa kwanza huko ccm sasa wapinzani tunalalamika na watawala nao wanalalamika huu ni usanii tuuu

Ndo maajabu. Watu wanamsifia eti ndo kichwa!!!! Kichwa? Kwenye wizara muhimu alopewa amefanya nini???? Ukiwa mahiri wa kuongea tu cheo.

Anakuja kutupa historia ya familia yake na umaskini walopitia kwao... Utatusaidia nini sisi.. Baada ya kupata amewavusha wangapi kwa nafasi ya uwaziri alokua nao.
 
kama alifoji vyeti vya darasa la 7 siyo yeye, ni wazazi wake labda kama alishazidi miaka 18. Yeye ni geniuos. Imagine ubongo wote ule ungeishia machungani.
Hakufoji,ila alienda kurudia shule kwa jina la mtu mwingine aliyekuwa kaacha shule,mimi namsifu maana alikuwa ana kiu ya Elimu,na yeye alitumia jina tu ila kila kitu mitihani alifanya mwenyewe,nashangaa watu wanamzonga mwigulu kwa kurudia darasa kwa jina la mtu aliyeacha shule
 
So far Lowassa hazuiliki kimkakati wala kimvuto: Ilikuwa inajulikana kuwa Membe angewatanguliza Wassira, Nchemba, Makongoro ili wamsaidie ku-neutralise kasi ya Lowassa. well Wassira amejaribu kuwajengea baadhi ya watu kuwa Wala Rushwa watauza Magogoni wakati UKWELI ni kuwa yeye yuko pale na ESCROW waligawana mchana kweupee... as if haikuwa UFISADI wala Rushwa!!! Wassira ameshindwa kujibu maswali ya msingi na ya kina akaishia kupiga siasa kwenye mambo nyeti ya KATIBA, Kilimo na Ushirika, Uwajibikaji... amshindwa kuainisha vipaumbele vya maendeleo na jinsi gani atavisimamia... uongozi kwake anauchukulia kama styles tu!!!! Ameshindwa kujua kuwa Leadership ndo kila kitu na imeprove kuwa nchi zote zimeendelea si kwa mifumo tu bali utashi na dhamira wa viongozi wao!!! ... Nchemba bado sana, ujana si uhalali wa kupewa nchi; so far Comred Kinana anafanyakazi kubwa sana kuliko yeye mara 1000... anajaribu kutengeneza ugonvi kati ya wazee na vijana; hajui mambo muhimu katika uongozi wa nchi... amedesa nondo za UKAWA kupitia agizo la Chama Tawala aka ACT ndo maana uzi huu wamejaa wasaliti wa mabadiliko wakijaribu kumsupport... Kwa ujumla Membe hajafanikiwa kwani Wassira alikuwa na Nyambari Nyangwine, mnec wa Mbeya na mbunge mmoja wa kanda ya ziwa!!!! Nchemba alikuwa na nani kwenye kutangaza nia? .... Tunawajua walioko Nyuma ya Lowassa ambao ni Mastrategist wakubwa, wana-network yenye nguvu kubwa, wanainfluence hata ya kumtema JK wakitaka... Sioni namna ambayo Lowassa atazuiliwa maana products zake zinajulikana zinatamkika KASHWASA, UDOM, SHULE ZA KATA, aliweza kujiuzulu kwa kuonyesha kuwa cheo ni dhamana pamoja na kuwa hakula hata senti tano! Pinda, Membe et al ambao imethibitika kuwa ni beneficiaries wa ESCROW waligoma kujiuzulu, Sitta amethibitika kuwa ndo mla rushwa mkubwa na kwenye BMK wameharibu sana yeye na wassira ... So far Lowassa ndo pekee mwenye kukubalika ndani na nje ya CCM ...
 
Dawa zinaibiwa sana,usitake kutudanganya hapa,na hilo linajulikana,tena hata sehemu nyingine tunazijua...
 

Hakuna jipya zaidi ya kucopy ya Dr na upinzani wanayosem kila siku.Zaida ameudhilisha uma kua CCM wanatuibia
 

Hachekeshi huyu Bali anahuzunisha na kutia hasira anaendeleza unafiki tu,shangaa na wewe kwenda ikulu leo ndo anaona eti mabadiliko ni sasa? Alikuwa wapi kuwarekebisha hao wenye ari mpya, nguvu mpya na wenye safari za matumaini, wanafiki wakubwa hawa hawana jipya.......
 
Reactions: BAK
Simpendi huyu gaidi Mwigulu lkn nimpe pongezi kwa kusupport sera ya CDM ya kuhimiza domestic manufacturing of products eg. Textile and leather sectors...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…