Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Mimi amenishangaza mwingulu kuongea kama kiongozi wa kambi ya upinzania while yeye ni waziri

ama kweli dunia iko na vichekesho
 
hivi huyu makongoro ni yule aliyewahi kuishi arusha? mwanasheria? sijui aliwahi pia kuwa mbunge? kama ndo huyo basi mwigulu ni bora mara 20

yes ndo huyo aliyewahi kuwa mbunge wa arusha, na sasa ni mbunge ktk bunge la EAC

No usimjaji hivyo hapo kwa red, naona umesahau ulichoandika khs mwigulu uliyemjua mwanzo huko nyuma, kwamba he is not the same now!!
 

Timu Lowassa wamepanick.Sasa kama kaisikiliza ya Mwigulu na ya Lowassa atashindwaje kuzifananisha hizo mbili?maana ya Mwigulu ya kuongea binafsi na ya lowassa pamoja na kuandikiwa ni kama usiku na mchana.Ya Lowasaa ipo chini ya kiwango ata cha kusikilizwa.
 

Mwigulu kaeleweka vizuri sana, timu Lowassa mkajipange.Maana kumbe pesa haziwezi kununua hotuba nzuri, inahitaji pia uwezo wa mtoaji hotuba.Lowassa kwa hotuba ana F ndio maana mnahangaika saizi na hotuba wenzenu kwani kwa kasi hii mtaishiwa pesa bure.
 
Mkuu hotuba ya EL ilikuwa nzuri kuliko ya Mwigulu na Wasira? Au umati?
 
Mwiguru sio sili hotuba yako ni bora kipita hotuba zote za watangaza nia kupitia chama chako.....lowassa anachokuzidi ni kukodi mabodaboda njaa nchi nzima na kuwapeleka arusha lengo na madhumuni ni kuudanganya umma.binafsi nimeshuhudia vijana wenzangu wakipanda mabasi kwenda arusha si kwamba wanamkubali bali ni kuudanganya umma kwamba wanakubali kwa kuwarundika arusha.....poleni sana enyi vijana mlio laaniwa
...maana ukishiki ibada ya shetani na wewe ni shetani na hukumu yenu ni moja.
 
Vyama vyote haviwapi nafasi vijana wagombea wa CUF ni Maalim Seif na Lipumba,ukija CHADEMA ni Dr Slaa hawa wote wameshafikisha miaka 60.Bado mfumo wa vyama vya siasa za Tanzania hauwapi nafasi vijana kugombea nafasi nyeti

Tatizo langu ni mfumo wa sasa chini ya CCM....

Sina tatizo na wazee walio nje ya mfumo wa sasa....kwani naamini hafikiri na kuwaza kama wazee ama vijana walio chini ya mfumo wa sasa.

Suala la vijana tusitumie kama buzzword tu...kuwa kijana haina maana ndiyo sifa ya kuwa kiongozi bora. Na kuwa mzee haina maana ndiyo sifa ya kutokuwa kiongozi bora.

Tatizo la Tanzania hii ni mfumo. Tubadili mfumo ili wazee na vijana tuweze kulipeleka mbele taifa hili.
 
nadiriki kusema hujachambua vizuri....hotuba iliyokuwa nampangilio na wasilishaji mzuri ni ya wasira......huyu nchemba anashika namba mbili kisha yule wa tamasha la jana hata namba tatu hashiki..siwezi kumuweka namba tatu hafai nafasi hiyo
 
mwigulu ameongea mambo mazito na mazuri.bahati mbaya utekelezaji wake ndani ya ccm ni ndoto.
Hayo ni mawazo yako kijana, Ccm ndo baba na mama wa maendeleo yote uyaonayo hapa nchini wengine hao watasubiri sana, kaeleweka sana wewe tu umetumwa kwa mambo yenu binafsi, angalia njaa itakuua kijana.
 
yes ndo huyo aliyewahi kuwa mbunge wa arusha, na sasa ni mbunge ktk bunge la EAC

No usimjaji hivyo hapo kwa red, naona umesahau ulichoandika khs mwigulu uliyemjua mwanzo huko nyuma, kwamba he is not the same now!!

sawa kaka. unajua nimekulia arusha na sifa za huyo baba nilikuwa nikizisikia nikiwa mdogo kuwa "...mtoto wa nyerere mlevi sana.....hajiheshimu ...hapendezi kuitwa mtoto wa JK..." lakini kipindi kile akagombea kwa tiketi ya nccr akapata kwa sababu aligombea kwa chama cha jembe la wakati huo - mrema. baada ya nccr kupoteza umaarufu na yeye akapotea kwenye masikio yangu. wenzie kama kina mbatia baada ya kupoteza ubunge kutokana na kudhoofika kwa chama bado waliendelea kuwa active mpaka leo wapo na legacy yao inaonekana. Sasa huyu makongoro ananitia shaka kidogo. Anajitokeza wakati wa mgao tu? uongozi wa mwigulu niliuona toka tukiwa chuo ila hakuwa maarufu kama kina zitto na msando, ila nilipomuona anapanda kisiasa ndo nikasema kumbe yule kaka alikuwa serious na siasa??

Mwigulu ana faida ya kutokuwa kwenye uongozi kwa muda mrefu kwa hiyo nguo yake itakuwa na matobo kidogo ukilinganisha na hao wagombea wengine akiwemo makongoro. nakubali tayari nina prejudice kwa makongoro. kama anafaa kuwa rais basi na mimi awamu ijayo natangaza nia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…