..mimi nataka kuona mambo yafuatayo:
1. umati wa kumshinda Lowassa.
2. presentation nzuri na oratorical skills kuliko Lowassa.
3. better articulated vision for the country, inayoendana na rekodi ya mhusika.
4. halafu nidhamu na mpangilio mzuri wa mkutano.
..mtangaza nia akifanya yote hayo, then nitamkubali kwamba yuko serious, na anafaa kufikiriwa kwa nafasi hiyo.
Mkuu huenda JokaKuu naye amehesabiwa na Lowassa? Uhuni wote wa Lowassa pale Amri Abeid bado Lowassa ni kielelezo kwa kulinganisha na wengine?Kwa kile alichokifanya Lowasa Sheikh Amri Abeid juzi, chama makini kingempa automatic disqualification.
Yetu macho
Amemaliza, bado mtu mmoja ambaye macho na masikio ya watanzania wanasubili kujua anatangazia nia wapi,ukipiga simu kusini, mashariki magharibi na kasikazini wanauliza ni lini anatangaza nia, nae si mwingine ni JOHN POMBE MAGUFULI,
ili kuamini haya fanya utafiti mwenyewe piga simu pote tz utapata majibu,timuyake hii hapa
1, MWAKYEMBE
2, FILIPO LUNJOMBE
3, MWIGULU NCHEMBA
4, JAJI RAMADHANI
5, HUSSENI MWINYI
6, MZEE WA SIMANJORO
7, ANNA KILANGO
8, MZEE ZUNGU
9, MZEE WALIOBA (MZEE MSHAURI)
10, MKAPA (KIJANA WAKE POMBE)
11, mama wa sheria
na wengine wengi chini ya kapeti,
project ACT imekufa sasa Mwigulu anakusanya watu na kuandaa choo ya kwenda vaa vazi la kimasai na kupandisha mori..kwamba El ni nguli.Nashukuru mlitusikilza ushauri wetu..kuendelea itunza ACT ni kuwaambia wapinzani kwamba Safari ya matumaini haina matumani ktk CCM .Sasa ni zamu ya Mwigulu Nchemba na anatarajia kutangaza nia kuanzia saa 9 mchana wa leo na atafanya hivyo live kupitia star tv akiwa Chuo cha Mipango, Dodoma.View attachment 255981Muda: saa 9 Alasiri hadi Saa 12 Jion.Mahali: Chuo cha Mipango Dodoma.Ukumbi: Mwl. Nyerere HallKAULI MBIU YA MWIGULU: MABADILIKO NI VITENDO, WAKATI NI SASAMwigulu anadai alibeba zege baada ya kumaliza chuo kikuu na mke wake akiwa mama ntilie akiwapikia yeye na vibarua wengine wa ujenzi.Pia naona Mwigulu anamponda EL kiani kwa kusema watu wanajisifu kuwa wamekuwepo serikalini muda mrefu wakati huo huo wamelisababishia Taifa hasara kubwa katika muda huo mrefu waliokaa serikalini.Inasikitisha kumuona analalamikia mambo mengi yanayoendelea chini ya serikali hii ya CCM wakati kila siku wanawakejeli wapinzani wanapolalamikia na kuhoji mambo hayo Bungeni.Kwa kifupi,Mwigulu leo anaivua nguo CCM hadharani na zaidi leo anamponda kiana mh.sana na pia anaonyesha kuwa Mkulu na chama chake wamekuwa ni dhaifu.
Heshima iwe kwenu wadau.
Baada ya kumsikiliza mtangaza nia namba 3 kutoka CCM ndugu Mwigulu Nchemba nimeingiwa na wasiwasi kidogo.
Kwa wale waliofuatilia na kumsikiliza mh. naibu waziri mtagundua kuwa Mwigulu alikuwa anaongea kama vile yeye si sehemu ya serikali.
Lakini cha ajabu zaidi mtakumbuka kuwa Hoja alizokuwa anaziongelea leo ni zile zile zilizokuwa zikiongelewa na wapinzani bungeni na yeye kuamka kuzipinga kwa kuwakejeli.
Kwa lugha nyepesi tunaweza sema kuwa Mwigulu katumia hoja za wapinzani kujinadi wakati ndye aliyekuwa mstari wa mbele kuzicrash hadi akasifiwa na Mwenyekiti wa chama na kupewa unaibu katibu mkuu bara pamoja na unaibu waziri kwa hiyo kazi.
Kwa lugha yepesi Mwigulu Nchemba tunaweza kumuita Chichidodo (Ndege mnafiki anayechukia kinyesi wakati chakula chake kinatokana na kinyesi)
Na hapa ndipo ninapopata wasiwasi kujua hasa nimwamini Mwigulu Nchemba yupi?!
1) Yule aliyekuwa anazipinga hoja za wapinzani?!
Au
2) Huyu aliyetumia hoja za wapinzani kutangaza nia?!
Nikikuambia kua hayo ya kuhusu viwda vya nguo niliishayaongelea miaka mitatu iliyopita utaniambia wakisema sawa na mimi wanakosea kwa sababu nimewahi kuyasema?
Hayo ni mawazo yako kijana, Ccm ndo baba na mama wa maendeleo yote uyaonayo hapa nchini wengine hao watasubiri sana, kaeleweka sana wewe tu umetumwa kwa mambo yenu binafsi, angalia njaa itakuua kijana.
Maendeleo gani unayoweza kijigamba hapa? deni la nchina kushuka thamani ya shilingi? Jiji lisilokuwa na master plan? Ufisadi? kuanguka kwa elimu?Hayo ni mawazo yako kijana, Ccm ndo baba na mama wa maendeleo yote uyaonayo hapa nchini wengine hao watasubiri sana, kaeleweka sana wewe tu umetumwa kwa mambo yenu binafsi, angalia njaa itakuua kijana.
Hufuatilii Siasa Za Nchini Mkuu. Mwigulu Leo Alikuwa UKAWA kwa hotuba yake. Amerudia Yaleyale Yanayosemwa Na Wapinzani, Hasa Katika Bunge Hili La Bajeti.
Sera ipi ya upinzani aliyotumia? Huyu ndio jembe la ccm hana makundi na anauwezo wa kukemea jambo lolote baya bila aibu
Mnaweza kufanana malengo mkatofautiana ni jinsi gani ya kufikia hayo malengo. Acha wivu wa kike wewe hamna mtu kama mwigulu huko Ukawa wewe
mwigulu anatufaa watanzania lakini muda bado!
Kwa kile alichokifanya Lowasa Sheikh Amri Abeid juzi, chama makini kingempa automatic disqualification.
Yetu macho