Amemaliza, bado mtu mmoja ambaye macho na masikio ya watanzania wanasubili kujua anatangazia nia wapi,ukipiga simu kusini, mashariki magharibi na kasikazini wanauliza ni lini anatangaza nia, nae si mwingine ni JOHN POMBE MAGUFULI,
ili kuamini haya fanya utafiti mwenyewe piga simu pote tz utapata majibu,timuyake hii hapa
1, MWAKYEMBE
2, FILIPO LUNJOMBE
3, MWIGULU NCHEMBA
4, JAJI RAMADHANI
5, HUSSENI MWINYI
6, MZEE WA SIMANJORO
7, ANNA KILANGO
8, MZEE ZUNGU
9, MZEE WALIOBA (MZEE MSHAURI)
10, MKAPA (KIJANA WAKE POMBE)
11, mama wa sheria
na wengine wengi chini ya kapeti,
ili kuamini haya fanya utafiti mwenyewe piga simu pote tz utapata majibu,timuyake hii hapa
1, MWAKYEMBE
2, FILIPO LUNJOMBE
3, MWIGULU NCHEMBA
4, JAJI RAMADHANI
5, HUSSENI MWINYI
6, MZEE WA SIMANJORO
7, ANNA KILANGO
8, MZEE ZUNGU
9, MZEE WALIOBA (MZEE MSHAURI)
10, MKAPA (KIJANA WAKE POMBE)
11, mama wa sheria
na wengine wengi chini ya kapeti,