Dexaquin
JF-Expert Member
- Feb 7, 2015
- 230
- 80
labda vimevalishwa pampasi
Hahaha dah nacheka saana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda vimevalishwa pampasi
Lowasa ni simba wa yuda
Lowasa ni simba wa yuda
Chadema kaeni kitako mjifunze demokrasia
Wanafunzi wa chuo ni watu wazima wenye akili zao na uwezo wa kutambua nzuri na baya. Inakuwaje uite watu wazima eti wanasombwa? Ina maana wao hawana uwezo wa kukataa kusombwa? Na what if wao wanafunzi ndio waliokodi magari kwenda kumsikiliza huyo Mwigulu?Hatukatazi wanafunzi kuwa kwenye siasa, tunachohoji ni kwanini uwasombe kwenye Coaster ili waje kukusikiliza mimi sio CDM ila CDM huwa hawasombi mtu kuja kwenye mikutano yao.
Mbowe ajifunze demokrasia kutoka ccm,aache kuwa dikteta
matatizo ya ccm ni ya kimfumo. hayawezi tatuliwa na watu walewale toka ccm.
Hahaha anataka kugombea uraisi wa chuo?Tunampongeza Mh Mwigulu Nchemba kuamua kuomba ridhaa ya wanachuo wa vyuo vikuu Dodoma kutangaza nia yake ya kuwania mbio za urais hapo October. Nipo hapa wanafunzi ni wengi ajabu haijawahi kutokea. Hongera sana Mhe.
Lowasa ni simba wa yuda
hivi jana mbona star tv hawakurusha live wakati lowassa anatangaza nia?