Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
very boring speech
Hamna la maana analoongea aisee. Bora ya Wasira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
very boring speech
hivi hii speech aliandika kweli mbna ana free style anaongea ongea randomly
Teh teh we mwanamke huo sio umbeya..
umekosea sana hatuhitaji mpaka mtu afanye kitu. Tunahitaji mtu wa kutuvusha mpaka pale tunapotaka
Wakwe wamempa mwaka mmoja tu..
Una mahaba na mwigulu.amenitoa chozi
Umeonaa eee Mwigulu at his finest...Point... 'Unaweza kukaa sana serikalini lakini ukasababisha hasara kubwa kwa taifa'. Hii ni kweli kabisa
rekodi zako kujipendekeza kwa Mwigulu tunazoSo far kawapiga bao wote waliotangaza nia,now I can proud stand and say MWIGULU FOR THE STATE HOUSE
Tunaitaji rais smart.. Sio kama yule mgonjwa wa jana aliyeshindwa kushika ata karatasi.
Na ukipora mke wa mtu na kumpa mimba unapata uhalali wa kugombea urais?Ukifumaniwa na mke wa mtu unakosa uhalali wa kugombea uongozi
Hamna la maana analoongea aisee. Bora ya Wasira.
Hii ndiyo faida ya kuwa wa mwisho katika kutangaza nia. Kiherehere cha Lowasa kimemponzaSo far kawapiga bao wote waliotangaza nia,now I can proud stand and say MWIGULU FOR THE STATE HOUSE
very boring speech
Mwigulu ana utoto mwingi