Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mabebiz kibao?
Anatetea wafanyabiashara wadogo kulipishwa kodi, na wageni kupewa misaada wakati hivi sasa ni waziri wa fedha ameshindwa kulitelekeza hilo kila siku migomo ya wafanyabiashara anasubiri awe rais ndio afanye? nasasa wizara yake inahusika na hili?
He knows how to speak, sasa sijui kama atatekeleza anachokisema.Mkuu unasema..?
The gay is smart.
heeee!!!😕
Wakwe wanatakaa wajukuu.. Shamba halizalishi si ni bora kubadilisha shamba sasa
Ana mke mzuri sana.