Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu hana jipya! Anayoongea ni kama anaimba BONGO FLEVA; Mambo ya kufikirika yasiyo na mashiko hata kidogo! Huyu mtu ni lazima akumbuke kuwa ameshiriki kwenye matukio mengi yenye sura ya kigaidi na yaliyogharimu maisha ya Watanzania wengi.
Mwugulu anaendelea kujipambanua katika ubora wake
Ila huku wavumilivu na wanaheshiamna huku wana nyukana kimtazo sana.
Tena kamuacha uchi peeeee!Mwigulu ana mvua nguo Lowassa hadharani.
atlast mtu anaongea the hows.Siyo mtu unamention tu
Ina maana Mwigulu kakosa hata mtu wa kumuandalia hotuba ya maana!
Tusahau yaliyopo. Tugange yajayoAlitakiwa kuhojiwa suala la Tsh.kushuka thamani.sijuwi kama kutakuwa na muda wakuuliza maswali.
Wa mke wa Mwigulu.. Kumbe we humjui Juliana Shonza??Mhhhhh, wale watoto walokaa high table ni wa nani?
huyu anataka tuwaze kunywa uji kama yy alivyokua
usishangae mtu kama huyu akatuwekea sheria kwamba mlo wa asbh uwe ni uji wa chumvi ili tuweze kuserve hela ili kupata maendeleo
Kakodi mengi sana kwa kweli naona yamejaa hapa UDOM na wanafunzi wanazidi kumiminika kuingia kwenye gari.
Nchi hii ni shidaaaaa!!!!!
Hahaaa umenifurahishaMkuu, kwa nini usitumie tu lugha ya Taifa!!