Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho nitatangaza nia kupitia UKAWA
Awe mke wamwigulu asijue waalikwaWa mke wa Mwigulu.. Kumbe we humjui Juliana Shonza??
Hilo la kujenga viwanda nakupongeza Chemba, wazo lako la vijana kufanya kazi viwandani usiku na mchana limekubeba sana leo hongera.
Acha hizo bwana....weka akiba ya maneno nitakukumbusha siku moja.
Mtu anikumbushe akiwa naibu waziri amefanya nini hadi sasa
Mtu anikumbushe akiwa naibu waziri amefanya nini hadi sasa
Wa mke wa Mwigulu.. Kumbe we humjui Juliana Shonza??
Mtu aliekaa sana Madarakani amezoea starehe, anamponda Lowasa
Ndo maana nikasema kama idea zake akiziweka kwenye matendo kweli kwa mfano kupunguza matumizi,kuvaa vya pamba ya kwetu.Nimemsoma THOMAS SANKARA kiukweli sijaona mfano wake,maana mawaziri walipanda economy class kwenye ndege,na mengine kibao katika kupunguza matumiziPLS usimlinganishe CAMARADE thomasi sankara na huyu...yule alikuwa zaidi ya huyu...pls..
Smart for what?