Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Hawa wote tupa kule,

Lowasa ndo mpango mzima.
 
Hivi Chadema wao hamna watangaza nia wao wana mgombea urais wa maisha Dr.Slaa.

Wafuasi wa Chadema masikini ya Mungu wamekosa hii fursa ya kuwajadili wagombea urais.

Lakini bahati nzuri wanawajadili wagombea wa CCM.

Tunasubiri kwanza chama cha mafisadi watangaze.
 
Huyu bibi atakua kaandaliwa sio bure...
 
Hahahahahaa hata mimi najifunza hapa maana mwaka huu na mimi ndio nitaanza kupiga kura rasmi.
Sitaki kubaki na majuto kama hayo yako.

Yani mwenyewe nahamu ya kupiga kura kwa Mara ya kwanza wakianza tu kuandikisha nitawahi faster nahamu sana ya kupiga kura.
 
Mkuu Cargo, hizo si tuhuma bali ndo uhalisia. Situmii ile ya chogo. Nifah anaijua vema coz kuna siku nilimleta home tukaspend one night na ndivyo alivyoenjoy kuiangalia

Ahahhaahah sasa wewe ndo umetoa tuhuma mkuu nifah kuja huku
 
Last edited by a moderator:
katika ubora wa speech...wa kwanza wasira..wapi mwigulu wa tatu ni yule wa jana ..
 
Tuwaamini Wapinzani.. Hiki chama kimesha choka.. Yote haya wapinzani wameshasema hasa CHADEMA

Naam! Haya ayasemayo Mwigulu kwa chama chake ni ndoto. Anaongea vema sana sana! Lakini chama chake hakiwezi hakiwezi pengine wawafukuze wezi kwanza. Mwigulu fukuzeni wezi kwanza vinginevyo chama kitakuangusha wananchi watakipigia ukawa.
 
huu ndo unafiki wa viongozi wa ccm wakiwa huko hawaongei?

ndio nashangaa jamaa anaongea vitu vya maana as if hayuko kwenye system....wangekuwa wanayafanya yote haya hata kura nisingeenda kupiga kura maana waendelee tu kutawala.....
 
Wewe msukule wa lowassa ona kijana anavyomvua nguo tajiri yenu.
Wewe mkata viuno wa Diamond punguani kweli mimi nawakubali wote hata Padre Slaa hana uwezo wa kujenga hoja kama Mwigulu.

Nawashauri UKAWA kura zao wampe Mwigulu akikatwa CCM aje kugombea UKAWA.
 
Wacha tukae kimya mmmm...huyu hafananii anatuzuga tuu ili kesho kutwa ajiunge na Team lowasa hapo ni maigizo ...
 
Mnaomlinganisha na lowassa nenendi mkaangaliwe afya zenu. Mwigulu yupo vizuri.

sijaelewa anakosoa waliyokwisha Fanya au anaomba urahc akarekebisha makosa?
mwekeni huyu iwe rahc kuloweka boflo kwa kikombe cha kahawa.Sera zake zinaonesha hakika ccm hawawezi tena kuongoza.hamuwezi kupewa nchi ili mkakomeshe kufanya kazi kwa mazoea wakati nyie ndo mnasimamia hayo mazoea
 
Billion 350 wanapewa wanachuo wa wapi?? Mbona kila mwaka madogo wanakosa mikopo
 
Back
Top Bottom