Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati natamani huyu jamaa angekuwa UKAWA..
Tatizo hujazoea demokrasia, wanayo haki kufanya hivyo ili kutupa uwanja mpana wa kuchagua nani aliesahihiHii sheria yakila mtu kuwa nauhuru wakutangaza nia ya Unyerere inabidi iangaliwe upya mana imekuwa dharau kwa taasisi hii mhimu
Siuna chukua kadi una sepa moyoni wajua ulitendalo basi.
UKAWA ndiyo chama gani?Kuna wakati natamani huyu jamaa angekuwa UKAWA..
Huyu hata tano bora hatapita
Watanzania wasitegemee jipya kutoka ccm kwa miaka 53 wameshindwa miaka 5 wataweza wapi huu ni usanii.Hapo ndio ujue siasa ni uongo kudanganya Wana nchi
Mwigulu ....... Mambo ya kufikirika .......
Diva Beyonce na Dada nifah naona Leo mpo huku.Hahahaaa kweli mahaba hupofua kabisa aise yakimzidi mtu anajiona akili kubwa ati.
Kuna wakati natamani huyu jamaa angekuwa UKAWA..
Nasubiri Pinda
Huyu hata tano bora hatapita
Akiwa Raisi atatekeleza,angalau ameweza kukemea RUSHWA hadharani na kusema walarushwa wote watakwenda jela
UKAWA ndiyo chama gani?