Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Gamba la tatu hiloo.sijuwi kesho anafuata nani.mpaka sasa sijaona wa kukamata moto wa Ukawa. Hawa wote watatu saizi yao Salum Mwalimu anawatoa knock out.
 
Leo Mwigulu amegusa mambo muhimu kwa watanzania,ingawa Mimi si mfuasi Wa Ccm kamzidi hata Lowasa katika kutoa hotuba na kuelezea matatizo ya Watanzania,hadi sasa namuona Mwigulu yupo vizuri kuliko Lowasa
 
Teh Teh mkuu Ritz umenikumbusha maneno ya rafiki yake Josephine na Dr Slaa alisema hivi jana...

Asiye mtaka Lowasa akale limao-Ngwajima...


Hakika UKAWA wanaendelea kupata pigo hakika CCM kuna vichwa yani Dr Slaa na Mbowe wako hoi huko waliko ukichanganya na kusalitiwa jana na Ngwajima lazima Slaa yuko ICU

Mazombi yapoamua kufarijiana haina mbaya .
 
Last edited by a moderator:
Hata madj wa leo wana akili kuliko wale wa lowasa jana
 
Hotuba ya mwigulu nchemba ina mashiko na maslahi makubwa ya taifa na namna taifa hili lililopofikia....siamini kuona kijana kama huyu kuwa na uwezo mkubwa wa kuelezea mambo na kuyapambanua.....na nisomo kwa watanzania......pia amewaambia watanzania wachague kiongozi anaechukia rushwa na mali anazomiliki ziwe halali na asitumie fedha alizojilimbikizia wakati akiwa madarakani ili kuwanunua watanzania.....hotuba ya mwigulu imenigusa bila kujali itikadi.KWA HOTUBA HII NI DHAHIRI LOWASSA HAWEZI KULIONGOZA TAIFA HILI KWA KULENGA KULINYONYA ZAIDI TAIFA NA KULIACHA KAMA MIFUGO ILIYOKOSA MARISHO KWA UKAME.
 

Pale jukwaani ninamuona BONNI MWAITEGE akiongoza mapambio
 
R.I.P Komba Nyimbo zake zinaishi , please Mpelekeeni Mjane kiasi cha mboga mumewe kaacha Hazina kwenu CCM ....
 
Hakika UKAWA wamegaragazwa...Slaa tutamkabidhi kwa HKigwangalla ana mtosha ...
 
Last edited by a moderator:
Tunaimani na wewe




Sauti za watumbuizaji......🎵🎵🎵🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎸🎸🎸🎸🎸
 
Maigizo Ya El baado yanaendelea mtalipiana mpaka Airtime lakini Ukawa ndio Habari ya Mjini
 
Kaongea kwa hasira sana na nimemuona j shonza ndani ya nyumba.

swissme
 
Back
Top Bottom