Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Maneno meeeengiiiii........ Sifa kibaaaaoooooo..... Kwa nafasi yake ya uwaziri kafanya nn??????

Fedha inashuka thamani kwa ajili ya utegemezi ,kwamba tunanunua kuliko kuuuza.. Serikali anayo iongoza si ndo imetufikisha apa ? Si wao ndo wameua viwanda vyote ? Si wao ata madini na ifadhi zetu wameshindwa kuendeleza ....anamlalamikia nani sasa?.
 
Haya majibu yake kuhusiana na kushuka kwa fedha yetu ni mepesi sana action zake ni miaka itachukua so tutaendelea kuteseka tu
 
Bahati nzuri huyo jamaa hapo mbele ni moto wa kuotea mbali hakupata sifuri kama Mwenyekiti wa chama chetu!

Hahahaha,hizi ligi zenu huku siziwezi.Nisijetia neno bavicha wakaniletea kigodoro bure!
 
As much as I hate CCM to the bone, ila Mwigulu hayo anayoyaongea ni ukweli mtupu na yanatoka moyoni mwake,haigizi kama wengi mnavyodhani.Mnakumbuka wakati wa Bunge la Katiba alipoishauri serikali kuahirisha mchakato wa katiba ili kuokoa fedha zitakazopotea bure?Alikuwa peke yake aliyetaka mchakato usimamishwe mpaka pale muafaka utakapopatikana.The guy is a real deal but the problem is his party, it will never award him a Presidential candidacy kwasababu tayari old guards wanaofahamu misimamo ya Mwigulu.Anaweza kuwapeleka wengi magerezani.Hata JK mwenyewe hawezi kukubali kuona Mwigulu anakuwa rais,anajua yanayoweza kuja mbele.

Toka aliporudi toka Nigeria alibadilika sana ila kama usemavyo chama chake ndio shida
 
Back
Top Bottom