Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,563
kwa ajili ya lower sir
Walijua afya inaweza kubadilika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa ajili ya lower sir
Well said on Shilling vs Dollar. I wish hilo swali lingeulizwa jana.
hajajibu anapiga tu siasa.
Hhahahaha yeye siyo Rais,labda anatoaga views zake halafu hazifuatwi sasa atafanya nini?Wampe Rungu ili AIVUSHE TANZANIABaada ya yeye kuingia MOF hebu cheki dola inavyotugaragaza
Lusinde yupo team ya Membe?
Hahahaha,hizi ligi zenu huku siziwezi.Nisijetia neno bavicha wakaniletea kigodoro bure!
hili linashangaza zaidiKajibu mfumo alimo ndo janga coz naye analaumu
Maneno meeeengiiiii........ Sifa kibaaaaoooooo..... Kwa nafasi yake ya uwaziri kafanya nn??????
Fedha inashuka thamani kwa ajili ya utegemezi ,kwamba tunanunua kuliko kuuuza.. Serikali anayo iongoza si ndo imetufikisha apa ? Si wao ndo wameua viwanda vyote ? Si wao ata madini na ifadhi zetu wameshindwa kuendeleza ....anamlalamikia nani sasa?.
Sio wao tu, mi nilipofika Mzumbe Un. Watu wa BBA BPA BAF wote tulisoma ECO 100 chini ya injini moja inaitwa Kuzirwa, Prof.
Teh Teh Bavicha wana muunga mkono Mwigulu wamechoshwa na Profesa Mbowe...
Maneno meeeengiiiii........ Sifa kibaaaaoooooo..... Kwa nafasi yake ya uwaziri kafanya nn??????
Fedha inashuka thamani kwa ajili ya utegemezi ,kwamba tunanunua kuliko kuuuza.. Serikali anayo iongoza si ndo imetufikisha apa ? Si wao ndo wameua viwanda vyote ? Si wao ata madini na ifadhi zetu wameshindwa kuendeleza ....anamlalamikia nani sasa?.
Amesahau nyumbani hizo skafu zina maana gani au uzalendo upo kwenye skafu?
tutamshawishi....
Unajua muda huu niwakuwa makin kuwa sikiliza na kuwapima bado wanatangaza nia kwahio wacha wagombea watakapo subiria mikasi ya wananch hapo ndipo penye kujiweka sawaTeh teh napenda unavyozicheza karata zako.. Wewe unasubiri mgombea ateuliwe ndio uanze kuunga mkono
Duh wale ma Dj ni makada wa ccm bhana jana walikuwa wamelewa viroba
Naskia pinda kala kona