Kutoka dimba la Kambarage, Shinyanga: Stand United yaigaragaza Yanga SC iliyokuwa haijafungwa msimu huu kwa kuifunga goli 1-0

Kuna watu Leo wakiona stand za buss roho zao zinaungulia wanamkumbuka bwana aliyewabikiri stand United
Kwann uteseke Kama vp hamia msimbaz then agiza soda ya barid tukisubir kumchapa mkongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lawama za goli kwa kindoki. Sasa ni wakati wa kocha kupunguza hasira amsamehe kakolanya. Huyu kindoki hastahili kudaka ganga
Povu ruksa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NASKIA MTAA HUU KUNA MTU KATOLEWA BIKRA ZOTE [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Reactions: Tui
Kindoki msimu huu wa duru hili la pili atawagharimu sana Yanga,Kiuwezo bado sana
 
unbeaten kitu gani? mnaenda stend na ndala.. Mjifunze kuheshimu Chama la wana..
 
Nanusa harufu ya damu. Nimepata habari kigori kabikiriwa Stendi ya mabasi Shinyanga.
Leo sijui kocha atalia?
Hawa Stendi hawana heshima kuna wanaume walikuwa wanangoja kubikiri chumbani kwa Mchina wao wanafanyia STENDI.
 


Safi sana!!!
 
daah wahuni si watu! wapiga debe wamekata seal ya mtoto wa kishua!!!!
 
Asante Masawe bikra imejileta gheto, umechapa bila kushusha kaptula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…