Kutoka dimba la Kambarage, Shinyanga: Stand United yaigaragaza Yanga SC iliyokuwa haijafungwa msimu huu kwa kuifunga goli 1-0

Kutoka dimba la Kambarage, Shinyanga: Stand United yaigaragaza Yanga SC iliyokuwa haijafungwa msimu huu kwa kuifunga goli 1-0

Gooooool gol gol gol gooooooooli

masawe anawapatia stand united chama la wana bao la kuongoza hapa

Hahaha mwana kulitaka, mwana kulipewa

Huyu jaccob masawe ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom