Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahaaa. Habari zenu tunazo piaa. 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa. Habari zenu tunazo piaa. 🤣🤣🤣🤣
Mtani hivi baada ya ile mechi ya 5G yalipita tena. 😃😃😃
5 - 0 💃💃💃💃💃Habari nzuri zilizotufikia hivi punde
Mtani hivi baada ya ile mechi ya 5G yalipita tena. 😃😃😃
Uchawii. 😳😳😳Sasa nimeamini uchawi kwenye soccer upo.
Uchawii. 😳😳😳
Sema wale sio level zenu.
Umefurahi nchi kufungwa,acha wenge5 - 0 💃💃💃💃💃
😃😃😃 inamaana kabla ya hamkuyajua yoye hayo.Unajua pia nikwambie, sasa hivi Congo kuna tension sana kwa sababu za uchaguzi.
Mikusanyiko kama ile kunakuwa na ulinzi mkali tena askari wana mibunduki ya kivita. Hicho kitendo kilitutoa mchezoni kabisa.
😃😃😃 naachaje kufurahi Mtani. Mlitutambia sana.Umefurahi nchi kufungwa,acha wenge
😃😃😃 inamaana kabla ya hamkuyajua yoye hayo.
🤣🤣🤣🤣 ndio mshakutana nayo sasa.Sisi tulijua itakuwa kama kawaida, maana tuna uzoefu wa kucheza mechi za kimataifa na hatujawahi kukutana na hiyo hali.
Unakuta limtu linakuwa kama limekuelekezea mtutu, si shida hiyo!
🤣🤣🤣🤣 ndio mshakutana nayo sasa.
Ila mtani wacha kuongopa banaaa. Mitutu mbona sikuiona.
Zote mbiliKwani wewe uliangalia mechi ya stendi au ya Simba?
Zote mbili
Acha nipte kimyaaaZote mbili
Umejua kunichekesha leo.Acha nipte kimyaaaView attachment 999771
Tena niliifuatilia kwa umakini acha tu.Utakua hukuangalia vizuri kwa sababu ilikuwa na mawazo ya kufungwa.
Ngoja tujiandae kucheza na Al Ahly.
Tena niliifuatilia kwa umakini acha tu.
Na huko sijui mtazioga ngapi. 😅😅