Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Haya maneno haya Mkuu. Utakuja kuyakimbiaWaarabu wanakufa asubuhi tu. Wakijitahidi sana wanapata droo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya maneno haya Mkuu. Utakuja kuyakimbiaWaarabu wanakufa asubuhi tu. Wakijitahidi sana wanapata droo.
Sijambo mdogo wangu. Jumapili ya maumivu inasemaje?
Sijambo mdogo wangu. Jumapili ya maumivu inasemaje?
Hahaaaa. Kama wale Wacongo yaani Mkono. Aiseeeeee
NAKUONA TU UNAVYOTESEKA MDOGO WANGU. POLE EEEE.
Mnajisahaulisha maumivu yenu kuwa mmeshatolewa ukigori?NAKUONA TU UNAVYOTESEKA MDOGO WANGU. POLE EEEE.
Na hii inanifanya niamini kweli bao 5 ni noma. 😅😅😅
Hiyo Kawaida mbona kama nyie mwaka jana.Mnajisahaulisha maumivu yenu kuwa mmeshatolewa ukigori?
wewe ni pimbi tu, tulipomkanyaga Al ahly kimoko kwa mchina ulikuwa hujazaliwa?
Inaonekana imekuuma sanaeeeee poleeeewewe ni pimbi tu, tulipomkanyaga kimoko kwa mchina ulikuwa hujazaliwa?