Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Samira bana kaharibu hali ya hewa sana...yaani kweli usiamini maisha ya nje ya mtu alivyokua anajidai ni mpambanaji kumbe mavi mavu tu mfyuu!kujidai wema kumbe washamaliza masangoma yote ya town shezy kabsa na hilo li ex mume.
Yani hawa wanatupanikishaga tunajiona wavivu kumbe kutwa kushinda kwa sangoma. Na uzuri ule jamani kumbe akili kashikiwa kwa mume
 
Dah aiseee hao wanawake nawajua vizuri wote ,kwanini kamfanyia mwenzake hivyo ,kuna mambo siwezi andika hapa nitajiweka uchi bure
Weka japo juu juu mkuu. Haijajulikana bado kwanini maana huko kwa mganga wameenda alhamisi sijui ijumaa sasa sielewi ni nini walikerana mpaka kuumbuana hivyo
 
Back
Top Bottom