NILISOMANAE YULE
Senior Member
- Mar 6, 2018
- 172
- 173
DAH WATU WANAANGAIKA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
S... Ndo jina nimeona anatajwa nalo shoga mtuSamira namjua vizuri huyo shoga ake aliyetoa video anaitwa nani ? Japo initials za majina yake
Ndo huo uliopo fenti fodisasa nifanyeje maana nna hamu na huo ubuyu, upload hapa basiiiii,
HUWEZI KUFA MASIKINISitofanya chochote kitakachomdhuru mwanadamu katika utafutaji wa ridhiki,
Mwenyezi Mungu anisaidie, sitoweza kumgusa mama yangu au ndugu yangu yoyote, bora nife masikini.
ni PM basi hiyo video nimung'unyeNdo huo uliopo fenti fodi
Dah aiseee , huyu Sh.....na au ?S... Ndo jina nimeona anatajwa nalo shoga mtu
EwaaaaaaDah aiseee , huyu Sh.....na au ?
Yani hawa wanatupanikishaga tunajiona wavivu kumbe kutwa kushinda kwa sangoma. Na uzuri ule jamani kumbe akili kashikiwa kwa mumeSamira bana kaharibu hali ya hewa sana...yaani kweli usiamini maisha ya nje ya mtu alivyokua anajidai ni mpambanaji kumbe mavi mavu tu mfyuu!kujidai wema kumbe washamaliza masangoma yote ya town shezy kabsa na hilo li ex mume.
siku zote siri ya mafanikio ni siri yenyewe.Samira bana kaharibu hali ya hewa sana...yaani kweli usiamini maisha ya nje ya mtu alivyokua anajidai ni mpambanaji kumbe mavi mavu tu mfyuu!kujidai wema kumbe washamaliza masangoma yote ya town shezy kabsa na hilo li ex mume.
Dah aiseee hao wanawake nawajua vizuri wote ,kwanini kamfanyia mwenzake hivyo ,kuna mambo siwezi andika hapa nitajiweka uchi bureEwaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siku zote siri ya mafanikio ni siri yenyewe.
Weka japo juu juu mkuu. Haijajulikana bado kwanini maana huko kwa mganga wameenda alhamisi sijui ijumaa sasa sielewi ni nini walikerana mpaka kuumbuana hivyoDah aiseee hao wanawake nawajua vizuri wote ,kwanini kamfanyia mwenzake hivyo ,kuna mambo siwezi andika hapa nitajiweka uchi bure