Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Halafu hizo mambo za waganga wa kienyeji ni abdakadabra....hakuna kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana mradi tuu wabakie wadada wa mjini ila rohoni amani hamna.Wanahustle vingi [emoji23][emoji23]
sasa nifanyeje maana nna hamu na huo ubuyu, upload hapa basiiiii,
Kwa nani huyo wakunyumba? Mi nimeenda kwa shoga ako Milly sijaona hii habari [emoji23][emoji23]Mm nimezipata insta
Hayo maisha ya mateso hapana. Bora upate kahela kako kadogo ila una amani moyoniSana mradi tuu wabakie wadada wa mjini ila rohoni amani hamna.
Ndio Mwenyewe.Duka la VipodoziNamfananisha na mdada mwananyamala A duka Fulani hivi au?
Nakaaya nae sijui alitendwa lipi maana kaandika kama anachambaIngia insta kwa nakaaya sumari kuna hiyo video
Wadada wachache sana,hawaendi kwa waganga,hata tulio nao humu baadhi wangaHawa wajasiriamali wa insta wana mengi tuu wamebeba vifuani yasio pendeza waonage tuuu wanakula bata ooohh hustling hustling kumbe [emoji17] [emoji17] [emoji17]
Nikiandika mkuu nitajulikana mimi ni nani humu jf ,kama Samira au Sh....na wanapita huku ,sitaki kuchambwa na matarumbeta mtu mzima na uwalaza wangu
Ndio tunaenda kwasababu ya Ignorance.....Ila hakuna chochote unachoambulia huko kwa mganga zaidi ya Illusion, dillusion na allucination...Jidanganye tu
Hivi kwanini watanzania tunakwepa ukweli ?
Huu ndio ukweli kua WAGANGA WENGI NI WAKWELI NA WATANZANIA WENGI TUNAENDA KWA WAGANGA NA TUNAFANIKIWA LAKINI TATIZO LAZIMA UTOE MAKAFARA NA HAUTOFURAHIA MAISHA
KabisaaHayo maisha ya mateso hapana. Bora upate kahela kako kadogo ila una amani moyoni
Ukipenda kuwa slayqueen lazima uishie humo tu walah hichi ni kiroja cha mwaka jamani huyu Samira si wakuyafanya haya mfyuu eti mume ndo kampeleka kwa alishikiwa bastola??akhaa ni tamaa tu za kuendelea kuwa top zimemponza sijui ataficha wapi uso wake!kazingua kinoma huyu manzi asitafute huruma!akatubu kwa Mola wake na maushirikina yake shubamit![emoji52]Yani hawa wanatupanikishaga tunajiona wavivu kumbe kutwa kushinda kwa sangoma. Na uzuri ule jamani kumbe akili kashikiwa kwa mume
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wamewahi kukuwangiaWadada wachache sana,hawaendi kwa waganga,hata tulio nao humu baadhi wanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wadada wachache sana,hawaendi kwa waganga,hata tulio nao humu baadhi wanga
Milly karusha screenshot za huyo samira video ipo kwa nakaayaKwa nani huyo wakunyumba? Mi nimeenda kwa shoga ako Milly sijaona hii habari [emoji23][emoji23]
Mzuri kuanzia sura mpaka ngozi ila imani yake na akili ndo vibovuDemu ngozi kama anaogea maziwa!!!
hii mbona kwa Nakaaya sioni duh? kweli instagram kitambo sijaingia kabisa ila kwa huu ubuyu nimejikuta nahaha kuusaka, eee kazi kwelikweli[emoji23]Nakaaya nae sijui alitendwa lipi maana kaandika kama anachamba
Nakaaya nae sijui alitendwa lipi maana kaandika kama anachamba