Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Jidanganye tu
Hivi kwanini watanzania tunakwepa ukweli ?
Huu ndio ukweli kua WAGANGA WENGI NI WAKWELI NA WATANZANIA WENGI TUNAENDA KWA WAGANGA NA TUNAFANIKIWA LAKINI TATIZO LAZIMA UTOE MAKAFARA NA HAUTOFURAHIA MAISHA
Ndio tunaenda kwasababu ya Ignorance.....Ila hakuna chochote unachoambulia huko kwa mganga zaidi ya Illusion, dillusion na allucination...
 
Yani hawa wanatupanikishaga tunajiona wavivu kumbe kutwa kushinda kwa sangoma. Na uzuri ule jamani kumbe akili kashikiwa kwa mume
Ukipenda kuwa slayqueen lazima uishie humo tu walah hichi ni kiroja cha mwaka jamani huyu Samira si wakuyafanya haya mfyuu eti mume ndo kampeleka kwa alishikiwa bastola??akhaa ni tamaa tu za kuendelea kuwa top zimemponza sijui ataficha wapi uso wake!kazingua kinoma huyu manzi asitafute huruma!akatubu kwa Mola wake na maushirikina yake shubamit![emoji52]
 
Back
Top Bottom