Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Naam asee ngoja tubaki kusoma tu sasaNdio Mwenyewe.Duka la Vipodozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam asee ngoja tubaki kusoma tu sasaNdio Mwenyewe.Duka la Vipodozi
Ndo nimesema na mimi usimsingizie mume wakati walikua wanaroga wote. Kuslay mji huu kazi sana.Ukipenda kuwa slayqueen lazima uishie humo tu walah hichi ni kiroja cha mwaka jamani huyu Samira si wakuyafanya haya mfyuu eti mume ndo kampeleka kwa alishikiwa bastola??akhaa ni tamaa tu za kuendelea kuwa top zimemponza sijui ataficha wapi uso wake!kazingua kinoma huyu manzi asitafute huruma!akatubu kwa Mola wake na maushirikina yake shubamit![emoji52]
It takes one to know one...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wamewahi kukuwangia
Ingia insta kwa nakaaya sumari kuna hiyo video
...Kwa nani huyo wakunyumba? Mi nimeenda kwa shoga ako Milly sijaona hii habari [emoji23][emoji23]
Wacha niwendeeeMilly karusha screenshot za huyo samirq video ipo kwa nakaaya
Mkuu sema tu wewe hujawahi tafuta utàjiri kwà waganga wa kweliNdio tunaenda kwasababu ya Ignorance.....Ila hakuna chochote unachoambulia huko kwa mganga zaidi ya Illusion, dillusion na allucination...
hii mbona kwa Nakaaya sioni duh? kweli instagram kitambo sijaingia kabisa ila kwa huu ubuyu nimejikuta nahaha kuusaka, eee kazi kwelikweli[emoji23]
[emoji108] [emoji108]It takes one to know one...
Mkuu ana mdg wake pia,nae hatari ngozi lainiiDemu ngozi kama anaogea maziwa!!!
Basi hapo umetamani ndo ungekua mgangaMganga alipaswa kumwambia huyu dada alale hapo kwake siku kadhaa amfanyie dawa usiku kucha
kumbe wadada insta na jf na fb ,, sie ambao tulohasi insta tunaona mapya hapa,,
Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wamewahi kukuwangia
What if mwanaume ndo kweli kambadilisha na yeye akawa hivo..kumbuka nguvu ya ushawishi ya mwanaume!!Mzuri kuanzia sura mpaka ngozi ila imani yake na akili ndo vibovu
Ndo nilichokuwa nawaza,na naamini mumewe lazima angekubaliana na hilo swala..Mganga alipaswa kumwambia huyu dada alale hapo kwake siku kadhaa amfanyie dawa usiku kucha
Sio jiwe kweli ?Kuna aliyembikiri mtoto wake ili nyota yake ing’ae na iling’aa kweli Afrika nzima lakini sasa inaanza kufifia. Ninadhani alikiuka masharti ya mganga amefanya vurugu nyingi mpaka kupora wake za watu.
nimekuelewa,, ngoja niishie kusoma mnayoandika,, huko kundi lenu la whatsup najua mambo ni kulonga choniiii [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] fb unitoea sipo huko
Aisee kuna warembo bongo hii,ila ndo hivo wanamilikiwa na watu ambao wengine pesa zao za ndumba kama huyu..Mkuu ana mdg wake pia,nae hatari ngozi lainii
Mmh. Hapana ntaendeleaa kukataa. Ina maana hakujua ubaya wa waliyokua wanafanya mpaka leo alipowekwa waziWhat if mwanaume ndo kweli kambadilisha na yeye akawa hivo..kumbuka nguvu ya ushawishi ya mwanaume!!