Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Bado sijakuelewa ulipo sema nimewapiga fiksi, sasa nakuambia nitafute nikupeleke ukamwone huyo ndondocha bado unazunguka na story zako ndefu... Nakufungia ndani usiku nazima taa mim naondoka halafu uje uniambie ulicho kiskia humu ndani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpeleke alete mrejesho
Bado sijakuelewa ulipo sema nimewapiga fiksi, sasa nakuambia nitafute nikupeleke ukamwone huyo ndondocha bado unazunguka na story zako ndefu... Nakufungia ndani usiku nazima taa mim naondoka halafu uje uniambie ulicho kiskia humu ndani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mm nilikuwa nabisha wewe ni me uko pm unataka kunionyesha nn tena ebu tuma pm ya mzigua ipo wazi nitaonyeshwa kama kilivyo
Ebana eeeh ndio shida sasa ya mwanaume kuwa kwenye mada kama hizi mmeamua kuniweka upande wenu

Hebu Fungua Pm nikuonyeshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…