Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Mtu kuishi ''nusu ya peponi'' siyo uthibitisho kuwa mafanikio yaweza kuletwa kwa uchawi. Hii inaonyesha kuwa mhusika alizipata fedha zake kwa njia ama halali au haramu-uchawi. Halafu nifafanue zaidi: Kuna watu matajiri ambao wanaamini ni kufanya vitendo vya ushirikina, wengine hata kuua. Lakini SIYO vile vitendo vinavyowaletea mafanikio na wangetajirika bila hata kuvifanya.
Bado sijakuelewa ulipo sema nimewapiga fiksi, sasa nakuambia nitafute nikupeleke ukamwone huyo ndondocha bado unazunguka na story zako ndefu... Nakufungia ndani usiku nazima taa mim naondoka halafu uje uniambie ulicho kiskia humu ndani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpeleke alete mrejesho
Bado sijakuelewa ulipo sema nimewapiga fiksi, sasa nakuambia nitafute nikupeleke ukamwone huyo ndondocha bado unazunguka na story zako ndefu... Nakufungia ndani usiku nazima taa mim naondoka halafu uje uniambie ulicho kiskia humu ndani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mm nilikuwa nabisha wewe ni me uko pm unataka kunionyesha nn tena ebu tuma pm ya mzigua ipo wazi nitaonyeshwa kama kilivyo
Ebana eeeh ndio shida sasa ya mwanaume kuwa kwenye mada kama hizi mmeamua kuniweka upande wenu

Hebu Fungua Pm nikuonyeshe
 
Back
Top Bottom