Tena akufwee kabisa[emoji23] [emoji23]Akwendeee uko
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] shauri zao![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mods nyie Mungu anawaona msitufanyie hivi
Hahahaha kwani yule mjita au Mkurya wako hana ? Yule mwenye jina la dawa sitaki kuporomoshewa mitusi ndio maana sijamtaja .
Looh![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu mbona muoga hivyoo...hebu mtaje bana ana nini zaidi ya mentally disorder?Hahahaha kwani yule mjita au Mkurya wako hana ? Yule mwenye jina la dawa sitaki kuporomoshewa mitusi ndio maana sijamtaja .
Daah!maskini pole sana!Chumbageni,Majani mapana kuna mwanamke kidogo anifanye zezeta kama sio mama yangu kwenda kulia na kusali kwenye madhabahu ya safina saa hii ningekuwa kama mdoli
Chumbageni,Majani mapana kuna mwanamke kidogo anifanye zezeta kama sio mama yangu kwenda kulia na kusali kwenye madhabahu ya safina saa hii ningekuwa kama mdoli
Tena akufwee kabisa[emoji23] [emoji23]
Mi nilitaka kuchangia....so ni wameufunga tu kwangu!Hata kama umefungwa unaweza soma
Bwaaaahaaaaa....Tanga kunaniChumbageni,Majani mapana kuna mwanamke kidogo anifanye zezeta kama sio mama yangu kwenda kulia na kusali kwenye madhabahu ya safina saa hii ningekuwa kama mdoli
Mkuu mbona muoga hivyoo...hebu mtaje bana ana nini zaidi ya mentally disorder?
Cc.shunie
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] jamani!!!yani mi naenda narudi nakuta funguo hilooMi nilitaka kuchangia....so ni wameufunga tu kwangu!
Yaan nimechukia!
Umofia Kwenu wana JF,
Katika kupitapita instagram leo,nimekutana na habari inayomuongelea "Bilionea wa madini" Ibra Mwakichui behind his sucess kwamba alitoa kafara mdogo wake na kumfanya mama yake zezeta.
Taarifa hizo amezitoa mkewe baada ya kuchukizwa kwa kuvuja kwa video ikimuonyesha yupo kwa mganga wa kienyeji akifanyiwa matambiko/tiba.
Nisikuchoshe wala tusichoshane unaweza kuona screenshots za insta.
View attachment 810953
View attachment 810954
Mke anayedaiwa kutoa hayo maelezo ya juu na video yake yake kwa mganga.
View attachment 810961
Mwanamme inayedaiwa aliyevujisha video.
View attachment 810962
View attachment 810963
Clip Samiratha akiwa kwa Mganga,Hii Clip ndio iliyosababisha afichue siri ya utajiri wa aliyekuwa Mumewe.
Hahahhha kwahiyo ndio huendiMi nilitaka kuchangia....so ni wameufunga tu kwangu!
Yaan nimechukia!
[emoji23] [emoji23] nakaziaAkufwe akufwe akufweeeee
Tehe tehEbu mwache babe wangu hapendi ugomvi wanavyomchokoza ameshasema kama hawataki kumuona jf wamwambie awaachie jf yao
Sasa si ukamate masai mmoja hapo ujaribu si mnaendaga kusuka kwao .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babe wangu wa jukwaani yule hata pm hatujawahi salimiana vingozi nasikia mnavyo nyie tu wamasai
NimeziraaHahahhha kwahiyo ndio huendi
Sio muoga mimi mwenyewe nimezaliwa hapo Ocean Road ,nikakulia Kariakoo japo home ni Arusha ,hivyo mitusi naiweza sana naepusha tu shari .Mkuu mbona muoga hivyoo...hebu mtaje bana ana nini zaidi ya mentally disorder?
Cc.shunie
Nshapoa siku nyingi mie wanawake wa Tanga hata waweje nawaona kama wanaume wenzangu .Daah!maskini pole sana!
Wanawake wa tanga nao wamo!!!hayo mambo balaa