Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Umofia Kwenu wana JF,

Katika kupitapita instagram leo,nimekutana na habari inayomuongelea "Bilionea wa madini" Ibra Mwakichui behind his sucess kwamba alitoa kafara mdogo wake na kumfanya mama yake zezeta.

Taarifa hizo amezitoa mkewe baada ya kuchukizwa kwa kuvuja kwa video ikimuonyesha yupo kwa mganga wa kienyeji akifanyiwa matambiko/tiba.

Nisikuchoshe wala tusichoshane unaweza kuona screenshots za insta.
View attachment 810953

View attachment 810954
Mke anayedaiwa kutoa hayo maelezo ya juu na video yake yake kwa mganga.
View attachment 810961
Mwanamme inayedaiwa aliyevujisha video.
View attachment 810962
View attachment 810963

Clip Samiratha akiwa kwa Mganga,Hii Clip ndio iliyosababisha afichue siri ya utajiri wa aliyekuwa Mumewe.


WANAWAKE VIUMBE WADHAIFU SANA, HATA KAMA YOTE HAYO YAMETOKEA NA YEYE ALIKUWA SEHEMU YA HAYO, ANAMGEUKAJE MWENZAKE LEO?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babe wangu wa jukwaani yule hata pm hatujawahi salimiana vingozi nasikia mnavyo nyie tu wamasai
Sasa si ukamate masai mmoja hapo ujaribu si mnaendaga kusuka kwao .
Na hiyo research yako mpaka ikamilike lazima uone kingozi kinavyofanya kazi sio kwa picha
 
Back
Top Bottom