Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu Ibra ndio alikuwa kamuoa Irene Joshua kabla ya SamiraHajawahi kua na chochote cha maana zaidi ya nguo na utozi
Simkumbuki jina huyo mdadaHivi huyu Ibra ndio alikuwa kamuoa Irene Joshua kabla ya Samira
Aiseee jamaa ana Roho Ngumu Sana,katoa kafara mdogo wake kisa ampe maisha Samiratha?Huyo mbugila tu hana chochote zaidi ya nyumba aishio,ila kweli mdogo wke alifariki kimazingara jamaa hakumwambia yeyote kuhusu msiba zaidi ya kumbeba kwenye gari na kumpeleka kwao tanga kumzija
Ilikua long hata huyu dada walikua hawajuani na huyu,huyo ndio ibra madharau mzee wa ulonzi,heri angekua na maendeleo kwa kuloga ila yeye yuko busy kununua mitupioAiseee jamaa ana Roho Ngumu Sana,katoa kafara mdogo wake kisa ampe maisha Samiratha?
Hapana nimepata habari aliyempa demu video airushe ni mume wa Samira huyo Ibra mwenyewe akampa RuthHuyo waligombana snap. Ila Sh..... ndo alomrecord mwenzie. Inaezekana Sh...sio karecord amatuma kwa Ruth halafu Ruth akairusha. Maana aliweka snap na mchambo
Hivi kuna watu wachawi kama wazungu? kuna watu wachawi kama waarabu, wahindi?Hv mnataka kusema na wazungu wana waganga wao? Wakina Barick na wengine kote duniani wanachimba kwa nguvu za kiganga?
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
DUH NIMEELEWA ,KUMBEEKumbe je hao masheikh wao wanakua wanamaliza mambo yao ile dua kulisha watoto km kafara yaani ila sio eti kwa ajili ya kusaidia,unagangwa then wanamaliza kulisha yatima au watoto pale ndo hitimisho
Huyu Ibra alikuwa na Vx 70 series kama ya silver kama nakumbuka vizuri ? Kama ndio basi Irene Joshua ndie mkewe wa kwanzaIlikua long hata huyu dada walikua hawajuani na huyu,huyo ndio ibra madharau mzee wa ulonzi,heri angekua na maendeleo kwa kuloga ila yeye yuko busy kununua mitupio
Jamaa naye ni zero brain,anajua ana makandokando kibao,anaishi nyumba ya vioo anarushia watu mawe?Hapana nimepata habari aliyempa demu video airushe ni mume wa Samira huyo Ibra mwenyewe akampa Ruth
Hivi wewe ni muhindi?Hivi kuna watu wachawi kama wazungu? kuna watu wachawi kama waarabu, wahindi?
Hivi unazijua zile mali za wajerumani *RUPIA* walizo ziacha Tanzania vijana wanaangaika kuzitafuta lakini zimezindikwa kwa matambiko yao huwezi kuzipata kirahisi
Wafanya biashara karibia wote kariakoo wanatumia uganga, karibia wafanya biashara wote dar wanaenda kwa waganga..
Ndio huyo ana vx 80 series,tozi flan na kujisikiaHuyu Ibra alikuwa na Vx 70 series kama ya silver kama nakumbuka vizuri ? Kama ndio basi Irene Joshua ndie mkewe wa kwanza
Huyo kima nishamjua ,demu aliyemuoa mwanzo alikuwa Irene Joshua ,Mshua wake huyu demu yupo Ottu pale na mambo ya madini piaNdio huyo ana vx 80 series,tozi flan na kujisikia
SIjabahatika kufanya kazi na wazungu,ila wahindi na waarabu nimewaona aisee jamaa ni washirikina hatari,wanazika Ng'ombe mzimamzima,enzi hizo k/kko kila duka la muhindi ndani au nje kaweka ndondocha halafu yeye anauza vifungo vya shati,sindano na uzi halafu kila jumapili wanaenda beach kwenye Ma_Mansion yao wamejenga ufukweni,sasa unajiuliza huyo jamaa anauza sindano na uzi k/kko anamiliki eneo beach na mansion juu.Hivi kuna watu wachawi kama wazungu? kuna watu wachawi kama waarabu, wahindi?
Hivi unazijua zile mali za wajerumani *RUPIA* walizo ziacha Tanzania vijana wanaangaika kuzitafuta lakini zimezindikwa kwa matambiko yao huwezi kuzipata kirahisi
Wafanya biashara karibia wote kariakoo wanatumia uganga, karibia wafanya biashara wote dar wanaenda kwa waganga..
Ndio huyohuyo dada baba yke ni broker pale ottuHuyo kima nishamjua ,demu aliyemuoa mwanzo alikuwa Irene Joshua ,Mshua wake huyu demu yupo Ottu pale na mambo ya madini pia
Makonda amepata mtoto mkuu..mwache ampatie mtori mzazi kwanzaHayo mambo yapo sana, huku mtaani kwetu kuna jamaa kamfanya mdogo wake zuzu, yeye anakula tu bata bila aibu.hivi Makonda hawezi Dili na hawa watu?