Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Utanilipa ya udalali? Si unajua hana njaa ndogo ndogo kumconvice sio jambo dogo eeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Utanilipa ya udalali? Si unajua hana njaa ndogo ndogo kumconvice sio jambo dogo eeh
jiwe mwenyewe ana hirizi kiunoni according to Bishop Kakobe yeye ni nani asiwange Huyo chalii
Yaaani majasiri hao mtu na mkewe. Na mke alikua anayajua yote hayo bado anakaa. Basi kachagua fungu hilo awekeze anawekeza kwenye nguo... Bure kabisa.Best ulishawahi ona maiti inapakizwa nyuma kwenye siti ya abiria na kufungwa mkanda kma abiria wa dreamliner
Umeona eeehh!!mnaafiki tu huyo SamiraAlikua anapenda hapa anataka kumtwisha Ibra mzigo
Huogopi kurogwa wewe? Naona unataka kuonja sumu kwa kulambaNdo maana nimesema kwa gharama yeyote..! Serious ntakulipa mkuu..!
Umeona eeee-Yaaani majasiri hao mtu na mkewe. Na mke alikua anayajua yote hayo bado anakaa. Basi kachagua fungu hilo awekeze anawekeza kwenye nguo... Bure kabisa.
SawaNenda michambo update ana stori kamili mkuu
Mkuu fungua uzi utupe madiniNina ushahidi kamili....kuna siku ntaelezea kuhusu wahindi na uchawi wao...msipime!
Hahaa alikua anauzia vibabu vya U.N mbunye enzi hizo huku Arusha.Ana status gani huyo mkuu hapa town?
Au kuuza arage tu mjini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mjaze tu@Shunie huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naweka T&C mapemaaa. Sio nimpe mtoto mzuri wakalogane asinipe changu [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hivi wakina Sunday, Askofu, na Justine wa triple A wapo kweli na mautajiri yao?Nyumba ya kawaida kma 50m plus vx ya 96 model na rav4 vyote akiuza anapata kma 80m sasa ushirikina kwake umempa nini,mererani walikua wanaloga zamani na migodi yote ya washirikina ilishakufa.imebaki migodi ya kisasa ya waliowekeza miundombinu kwa gharama kubwa
Khaaah. Sasa kama mtu mzima kuchambana kwenye mitandao haoni aibu? Au ndo anajirudisha sokoni kiaina?Hahaa alikua anauzia vibabu vya U.N mbunye enzi hizo huku Arusha.
Ilikua wazazi wakiona unafuatana nae ukoo mzima unakutenga.
Ni mkongwe.
NakaziaMkuu fungua uzi utupe madini
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mke alikuwepo kwenye gari uwiiiii na huu uwoga niliokuwa nao shunie mm sipati pichaBest ulishawahi ona maiti inapakizwa nyuma kwenye siti ya abiria na kufungwa mkanda kma abiria wa dreamliner
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] looh!cha udalali mastNaweka T&C mapemaaa. Sio nimpe mtoto mzuri wakalogane asinipe changu [emoji23][emoji23]
Si ndo hapo...unapokea kichambo cha bure inahuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora angetumwagia tu
Ana njaa sana wewe tu ndio hujuiUtanilipa ya udalali? Si unajua hana njaa ndogo ndogo kumconvice sio jambo dogo eeh
Anachamba wapiKhaaah. Sasa kama mtu mzima kuchambana kwenye mitandao haoni aibu? Au ndo anajirudisha sokoni kiaina?
Acha hizo wewe....Sh.... Sh....what????@Shunie huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]