Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanapenda maisha mazuri yenye ukakasi ndani yake
Tulimzika jamaa yetu moja aliyepata utajiri wa ghafla,aliugua kwa mateso makali sana mpaka kifo chake.
Hiyo ni baada ya kushindwa kumtoa kafara Mke wake na Mtoto wao inaoneka mke alikuwa vizuri,
Matokeo ya hapo imebaki simulizi mpaka leo.
Maana mwisho wa siku jamaa alitubu akaokoka mchungaji aliyeongoza hilo zoezi acha tu ,vitu alivyoibua ndani ya chumba ambacho alikuwa haingii mtu hata mke wa tajiri imebakia story haya mambo hayafai.
Huyu mwanamke komeshaUmofia Kwenu wana JF,
Katika kupitapita instagram leo,nimekutana na habari inayomuongelea "Bilionea wa madini" Ibra Mwakichui behind his sucess kwamba alitoa kafara mdogo wake na kumfanya mama yake zezeta.
Taarifa hizo amezitoa mkewe baada ya kuchukizwa kwa kuvuja kwa video ikimuonyesha yupo kwa mganga wa kienyeji akifanyiwa matambiko/tiba.
Nisikuchoshe wala tusichoshane unaweza kuona screenshots za insta.
View attachment 810953
View attachment 810954
Mke anayedaiwa kutoa hayo maelezo ya juu na video yake yake kwa mganga.
View attachment 810961
Mwanamme inayedaiwa aliyevujisha video.
View attachment 810962
View attachment 810963
Clip Samiratha akiwa kwa Mganga,Hii Clip ndio iliyosababisha afichue siri ya utajiri wa aliyekuwa Mumewe.
Mkuu hakuna siri ya watu wawili labda mmoja afe kabla ya kuitoa..Napingana na wewe, kuna watu tuna siri siku zikivuja itakuwa Mwisho wa Dunia.
Siri ya wawili ipo.
Bora wewe mkuu umeamua kuchoma zako mkaa minjinguKabisa ni Upuuzi sana kuishi maisha ya kifahari yakiwa na mafekeche kibao!! Sasa yanini kukaa na majoka,majeneza,mandondocha ndani,kutoa mikafara kuchinja mimbuzi,mikuku na kunywa midamu,kulala makaburini,for what? Kumtafuna dada wa damu au mama kisa utajiri? Fedheha yote ya nini?
Kabisa Mkuu ,Kidogo nachopata kwenye Mkaa naendeshea Maisha Mkuu! Nalipa kodi ya Pango na napata kununulia unga/mchele kwa chakula,oneday nitakuja kumiliki hata kaTOYO.Bora wewe mkuu umeamua kuchoma zako mkaa minjingu
Sasa hao wachungaji nao wanatoaTulimzika jamaa yetu moja aliyepata utajiri wa ghafla,aliugua kwa mateso makali sana mpaka kifo chake.
Hiyo ni baada ya kushindwa kumtoa kafara Mke wake na Mtoto wao inaoneka mke alikuwa vizuri,
Matokeo ya hapo imebaki simulizi mpaka leo.
Maana mwisho wa siku jamaa alitubu akaokoka mchungaji aliyeongoza hilo zoezi acha tu ,vitu alivyoibua ndani ya chumba ambacho alikuwa haingii mtu hata mke wa tajiri imebakia story haya mambo hayafai.
Hapo kwenye jiwe la 500 ndipo kadanganya hata kama simfahamu.Umofia Kwenu wana JF,
Katika kupitapita instagram leo,nimekutana na habari inayomuongelea "Bilionea wa madini" Ibra Mwakichui behind his sucess kwamba alitoa kafara mdogo wake na kumfanya mama yake zezeta.
Taarifa hizo amezitoa mkewe baada ya kuchukizwa kwa kuvuja kwa video ikimuonyesha yupo kwa mganga wa kienyeji akifanyiwa matambiko/tiba.
Nisikuchoshe wala tusichoshane unaweza kuona screenshots za insta.
View attachment 810953
View attachment 810954
Mke anayedaiwa kutoa hayo maelezo ya juu na video yake yake kwa mganga.
View attachment 810961
Mwanamme inayedaiwa aliyevujisha video.
View attachment 810962
View attachment 810963
Clip Samiratha akiwa kwa Mganga,Hii Clip ndio iliyosababisha afichue siri ya utajiri wa aliyekuwa Mumewe.
Machimbo yake hayajawahi kutoa hata JIWE la mia 5 ,fedha alizipata kwenye mashimo aliyoajiriwa na kufanya biashara ya mawe pia.....Ni kama King Msukuma alipata pesa kwa kuwadhulumu wanakijiji madini.Hapo kwenye jiwe la 500 ndipo kadanganya hata kama simfahamu.
Namfananisha na mdada mwananyamala A duka Fulani hivi au?
Maliza mambo iwe fundisho kwa wengine wenye mipango kama hiyo.Kuna mtu ni family member ametoa kafara ndugu yetu ili awe na mali familia nzima haifahamu nafahamu mimi peke angu sasa sijui nimuumbue vipi
Maliza mambo iwe fundisho kwa wengine wenye mipango kama hiyo.
Muumbue hadharani jamii imfahamu na matendo yake.Nifanyaje maana sijui cha kufanya mpaka sasa na jamaa anaendelea kula ukwasi wake taratibu
Ulifahamu vp? Maana kumtuhumu mtu kwa kesi kama hiyo si jambo dogoKuna mtu ni family member ametoa kafara ndugu yetu ili awe na mali familia nzima haifahamu nafahamu mimi peke angu sasa sijui nimuumbue vipi
AmeSitofanya chochote kitakachomdhuru mwanadamu katika utafutaji wa ridhiki,
Mwenyezi Mungu anisaidie, sitoweza kumgusa mama yangu au ndugu yangu yoyote, bora nife masikini.