Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Huyu mwanamke ni mpumbavu wa mwisho kabsa,just imagine wasingegombnaa haya yote tungesikia wapi, pengine nngemuona wa maan kama angekataaa mwanzo kuingia katka ushetani huu kuliko kutuambia wakati siri zao wakati wapo kwenye mgogoro
 
Hiyo video imenipa ushuhuda wa mtu anayethamini kazi yake, yaan dude kama hilo eti mganga kaishia tu kuingiza kidole kwenye nyonyo!!!
 
Watu wanapenda maisha mazuri yenye ukakasi ndani yake
Tulimzika jamaa yetu moja aliyepata utajiri wa ghafla,aliugua kwa mateso makali sana mpaka kifo chake.

Hiyo ni baada ya kushindwa kumtoa kafara Mke wake na Mtoto wao inaoneka mke alikuwa vizuri,

Matokeo ya hapo imebaki simulizi mpaka leo.

Maana mwisho wa siku jamaa alitubu akaokoka mchungaji aliyeongoza hilo zoezi acha tu ,vitu alivyoibua ndani ya chumba ambacho alikuwa haingii mtu hata mke wa tajiri imebakia story haya mambo hayafai.

Kabisa ni Upuuzi sana kuishi maisha ya kifahari yakiwa na mafekeche kibao!! Sasa yanini kukaa na majoka,majeneza,mandondocha ndani,kutoa mikafara kuchinja mimbuzi,mikuku na kunywa midamu,kulala makaburini,for what? Kumtafuna dada wa damu au mama kisa utajiri? Fedheha yote ya nini?
 
Umofia Kwenu wana JF,

Katika kupitapita instagram leo,nimekutana na habari inayomuongelea "Bilionea wa madini" Ibra Mwakichui behind his sucess kwamba alitoa kafara mdogo wake na kumfanya mama yake zezeta.

Taarifa hizo amezitoa mkewe baada ya kuchukizwa kwa kuvuja kwa video ikimuonyesha yupo kwa mganga wa kienyeji akifanyiwa matambiko/tiba.

Nisikuchoshe wala tusichoshane unaweza kuona screenshots za insta.
View attachment 810953

View attachment 810954
Mke anayedaiwa kutoa hayo maelezo ya juu na video yake yake kwa mganga.
View attachment 810961
Mwanamme inayedaiwa aliyevujisha video.
View attachment 810962
View attachment 810963

Clip Samiratha akiwa kwa Mganga,Hii Clip ndio iliyosababisha afichue siri ya utajiri wa aliyekuwa Mumewe.
Huyu mwanamke komesha
 
Napingana na wewe, kuna watu tuna siri siku zikivuja itakuwa Mwisho wa Dunia.

Siri ya wawili ipo.
Mkuu hakuna siri ya watu wawili labda mmoja afe kabla ya kuitoa..

Unaweza ukawa unaona bado siri imefichwa,, kumbe wote wanaijuwa na siri haipo tena,,lakini na wao wameambiwa iwe siri..

Ikabaki kila mmoja anaogopa kuongea pembeni lakini wote wanajuwa Kama ni siri..na taarifa zote wanazo.

Siri ni peke yako mkuu..
Hayo yanayotokea kwa huyo jamaa ni matokeo ya siri ya watu 2.
 
Kabisa ni Upuuzi sana kuishi maisha ya kifahari yakiwa na mafekeche kibao!! Sasa yanini kukaa na majoka,majeneza,mandondocha ndani,kutoa mikafara kuchinja mimbuzi,mikuku na kunywa midamu,kulala makaburini,for what? Kumtafuna dada wa damu au mama kisa utajiri? Fedheha yote ya nini?
Bora wewe mkuu umeamua kuchoma zako mkaa minjingu
 
Tulimzika jamaa yetu moja aliyepata utajiri wa ghafla,aliugua kwa mateso makali sana mpaka kifo chake.

Hiyo ni baada ya kushindwa kumtoa kafara Mke wake na Mtoto wao inaoneka mke alikuwa vizuri,

Matokeo ya hapo imebaki simulizi mpaka leo.
Maana mwisho wa siku jamaa alitubu akaokoka mchungaji aliyeongoza hilo zoezi acha tu ,vitu alivyoibua ndani ya chumba ambacho alikuwa haingii mtu hata mke wa tajiri imebakia story haya mambo hayafai.
Sasa hao wachungaji nao wanatoa
 
Umofia Kwenu wana JF,

Katika kupitapita instagram leo,nimekutana na habari inayomuongelea "Bilionea wa madini" Ibra Mwakichui behind his sucess kwamba alitoa kafara mdogo wake na kumfanya mama yake zezeta.

Taarifa hizo amezitoa mkewe baada ya kuchukizwa kwa kuvuja kwa video ikimuonyesha yupo kwa mganga wa kienyeji akifanyiwa matambiko/tiba.

Nisikuchoshe wala tusichoshane unaweza kuona screenshots za insta.
View attachment 810953

View attachment 810954
Mke anayedaiwa kutoa hayo maelezo ya juu na video yake yake kwa mganga.
View attachment 810961
Mwanamme inayedaiwa aliyevujisha video.
View attachment 810962
View attachment 810963

Clip Samiratha akiwa kwa Mganga,Hii Clip ndio iliyosababisha afichue siri ya utajiri wa aliyekuwa Mumewe.
Hapo kwenye jiwe la 500 ndipo kadanganya hata kama simfahamu.
 
Kuna mtu ni family member ametoa kafara ndugu yetu ili awe na mali familia nzima haifahamu nafahamu mimi peke angu sasa sijui nimuumbue vipi
 
Kuna mtu ni family member ametoa kafara ndugu yetu ili awe na mali familia nzima haifahamu nafahamu mimi peke angu sasa sijui nimuumbue vipi
Maliza mambo iwe fundisho kwa wengine wenye mipango kama hiyo.
 
Kuna mtu ni family member ametoa kafara ndugu yetu ili awe na mali familia nzima haifahamu nafahamu mimi peke angu sasa sijui nimuumbue vipi
Ulifahamu vp? Maana kumtuhumu mtu kwa kesi kama hiyo si jambo dogo
 
Sitofanya chochote kitakachomdhuru mwanadamu katika utafutaji wa ridhiki,

Mwenyezi Mungu anisaidie, sitoweza kumgusa mama yangu au ndugu yangu yoyote, bora nife masikini.
Ame
 
Back
Top Bottom