Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Ndugu zangu, mambo ni mengi ambayo magufuli anataka kuyafanya.. anataka kuleta maendeleo ya kweli na Tanzania mpya ambayo itawafanya wananchi wote wafurahie Serikali yao kuliko sasa.

CCM OYEEE

Ama kweli mmeshikwa pabaya. Hadi wewe unakuja kujaribu kuokoa zari huku jukwaani? Wale vijana wa buku saba saba hawatoshi tena? Sasa nakubali taratiiiiibu miti yote imeanza kuteleza
 
Hii inashangaza kweli. sikudhani kama kuna watu watakuja kuongea ka wanamkataba na mungu. mungu hataniwi anaeeza nyofoa mmoja ili liwe fundisho
Mkuu, unajua mtu anayekebehi Mgonjwa hana huruma na wagonjwa; kwa maana hiyo anawakebehi hata wale ambao ndugu zao wanaumwa. mtu anawezaje kutumia ugonjwa kama kigezo cha kumnyanyasa mtu ? Hahala wanajinasibu kuwa wanajali haki za Binadamu !!!
 
Naona mnaiga kila kitu toka zile NEMBO ZA CHADEMA na kauli mbiu yao,sasa mmekuja hata kwa wimbo wa msanii.Kweli mmekosa ubunifu.

Ila mwambie Nape UHAI na UZIMA ni Mungu anatoa.

Hujamjua Nape mkuu, baada ya kuona wanaotabiria vifo wenzao wanapukutika Nape naye anatamani naye afe kama wao kwani atazikwa kwa heshima sasa hivi.
Kulingana na hali ya ccm sasa hivi na hali ya hatma yake baada ya octoba jamaa hana hamu ya kuishi tena maana utakuwa ulimwengu wa fedheha na mahangaiko sana. Bora akufuru na afe ndivyo anavyojiombea mkuda huyo.
Atatoswa na ccm kama alivyotoswa na familia. Maana kwa mzee Nnauye hawamtambui kama mwanafamilia na mzee Mwandosya na family yake nao hawana haja naye hasa kwa tabia zake. Nani atakubali tabia za kishenzi kuzileta kwenye familia?
Hilo ni chukizo
 

Kinachonisikitisha ni jinsi watanzania tulivyo wapumbavu ,hivi tunashangilia MATUSI,kweli???Halafu imeshindikana hata Mtu mzima mmoja tu kumwambia anyamaze,hata huyo Magufuli,hivi leo najiuliza kwanini nimpigie Magufuli kama anabariki Matusi na CHUKI za wenyewe kwa wenyewe,mbaya zaidi tuliowategemee waseme stop wanachekelea.

Hakika nimeshikwa nabutwaa hata wale waliokuwa wanashangilia sijawaelewa kama wanaakili timamu.
 
peopleeeees..
 

Attachments

  • 1443518847847.jpg
    75.4 KB · Views: 122

Ndio unapopata tafsiri ya wimbo wao mashuhuri " CCM ni ile ile'
 
Kwa taarifa yake Nape watu wanaojua kuongea sana,si watendaji na hawana kitu kichwani kwani huwa wanafunika udhaifu wao kwa kupiga domo.Ila magufuli amejitahidi kwani UKAWA has nothing to loose kwa kuwa hawako madarakani
 
mahaba..
 

Attachments

  • 1443518939111.jpg
    48.9 KB · Views: 217


Magazetini,kama MATUSI NDIYO SERA KUBWA YA CCM basi watanzania hatuna sababu ya kuwapa KURA.Hata kama nilitaka kumpigia basi KURA yangu amekosa.

Jiulize kwa MATUSI haya amekosa KURA ngapi????Jamani mwambieni Magufuli, MATUSI siyo SERA.
 
Last edited by a moderator:
Kama ameshindwa kuiongoza tff sijui kama iringa mjini inamtosha.ila asubuh tupo wote usiku peeeopleessss....
 
nape na mwenzake wanamharibia pushapu atapoteza kura sana wasimfute
 
Ndugu zangu, mambo ni mengi ambayo magufuli anataka kuyafanya.. anataka kuleta maendeleo ya kweli na Tanzania mpya ambayo itawafanya wananchi wote wafurahie Serikali yao kuliko sasa.

CCM OYEEE

Kama SERA ni zile za MATUSI duh,basi mnatukimbiza hata siye tuliyefikiri Magufuli anafaa lakini kumbe sera zake ni MATUSI,na anayafurahia,Nimemdharau,na KURA yangu na familia yangu hapati tena.
 
Iringa tumeshaamua kuifuta UKAWA bye byee Msigwa

Hakuwaletea Barabara na UWANJA akiwa waziri leo anasema akiwa RAIS mh!!!!!!!!!!!!Hongereni kama mnaamini ,maana amesema GAS imepewa MCHINA bure kwa MIAKA saba.
 
Nape jana kasema Lowasa alituibia kila alikowekwa, alianza kuiba akiwa mfanyakazi wa chama, akapelekwa AICC Arusha akiiba. Akahamishiwa wizara ya ardhi akajimegea maeneo kibao nchi nzima, akapelekwa wizara ya mifugo akajimilikisha ranchi nyingi za uma. Mwisho akapandishwa cheo na kuwa waziri mkuu, hapa ndio akatumaliza kabisa na Richmond.

Wameshindwa kumshitaki siku zote hizo sasa Nape anatuambia sisi ilitumhukumu. SASA WANANCHI TUMEAMUA KUMFUNGA MIAKA MITANO JELA YA IKULU NA KAZI NGUMU YA KUWATUMIKIA WATANZANIA.
 
Hela za richmond ni za watanzania kama ameiba tunamsamehe ili kuonyesha hatuna kinyongo tunamzawadia na urais

Hii ni nchi yetu wote na tunataka kuonyesha ni ya kila mtanzania
 
Watu wanasema mtoto yake NEPI kwa hiyo nguo inayovaliwa na kunyewa pamoja na kukojolewa na watoto ndio sababu yake.
Hivi nape anaweza kuelezea tsh.152,000,000/- ambazo zinalipwa hadi leo kwa RICHMOND ni nani anachukua? maana ule mkataba haukuvunjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…