Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa uzalendo wako ila juu ya mti inabidi uwe makini zamoyoni miaka ile aliwahi kuua mti bila kutarajia alipiga goli Safi kuna mtu alikuwa juu ya mti pembeni ya uwanja kwa kujisahau alidondoka kama embe na umauti ukamkuta.Mpira umekwishaaaaa Tanzania Bingwaaaaaaaaaaaa
Tanzania kwa sasa kuna vijana rijari ?! au kuku wa kisasa a.k.a vijana wa kichina wanaishi kwa viaguraAisaee wadada wanatushinda maRijali wa TaifaStars!! hongera nchi yenye wanawake shupavu!
Kilimanjaro Queens yabeba ubingwa wa mashindano ya CECAFA yaliyofanyikia nchini Uganda baada ya kuifunga Kenya 2-1.
Kilimanjaro Queens iliondoka kwa usafiri wa basi kupitia Kagera mpaka Uganda.Bila shaka sasa wametupa heshima kwa soka la Wanawake ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
View attachment 403769
Hongera... Wee jipange vizuri tutafunguwa timu ya vibonge khaswa ..natutachukuwa ubingwa CAF wa Afrika cup of nation!!Ah mi nilitaka kujiunga na timu ya soka lakini nimeghairi...yaelekea sifa moja wapo muhimu ni kuwa na kifua kidogo
kwa nini ??hongera wadada sisi tupo tuu kila tukitia mguu waarabu wanatunyosha upuuzi kweli huu..
Marijali wanapiga mno viepeAisaee wadada wanatushinda maRijali wa TaifaStars!! hongera nchi yenye wanawake shupavu!
Aisaee... tuna kazzzzi!!Marijali wanapiga mno viepe
Taifa stars kufungwa na misri imekua kawaida tuu wachezaji hao hao miaka nenda miaka rudi lazima watufunge upuuzi kweli inauma kila siku mnafungwa ninyi tuu mbona wengine wanashinda Angola wametoka kwenye vita kombe la dunia wameenda sisi tupo tuu..kwa nini ??
Ulikuwa wapi sheikh wanguSafi sana!
Mbona sijasikia kabisa haya mashindano au ndio double standards. Tunapendelea michezo ya wanaume