The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
- Thread starter
-
- #81
Katiba si ya kihuni ni katiba inayobalance sana matukioThe Phylosopher bado upo na hoja nzito ya kutetea katiba wa wakenya? Umekubali kuwa katiba ya Kenya ni ya Kihuni?
Acha porojo ,jibu swali makamu ameondolewa na wahuni hawafiki mia tatu wakati huo huo alipigiwa kura zaidi ya milioni saba ,wewe huoni huu ni uwendawazimu aiseeSi angalau huyo rais kahangaika kutafuta njia za kumwondoa kwa kutokwa jasho? Na bado haijulikani huyo rais mwenyewe atakuwa amepoteza kiasi gani kwa sakata hili. Utamlinganisha vipi huyo na mwingine ambaye yeye kwake "katiba ya nchi ni mkusanyiko wa makaratasi tu"!
Hajaondolewa na wahuni kaondolewa na ukiukaji wa maadili.Acha porojo ,jibu swali makamu ameondolewa na wahuni hawafiki mia tatu wakati huo huo alipigiwa kura zaidi ya milioni saba ,wewe huoni huu ni uwendawazimu aisee
Mungu ibariki KenyaKwa kadri nilivyofuatilia Mchakato wa kumng'oa Naibu Rais wa Kenya nimejifunza kwamba tuna kazi kubwa sana ya kufanya ili kupata katiba inayolinda maslahi ya wananchi.
Yaani hapa kwetu ukiwa wewe ni Mbunge Rais hata Diwani ukikosana na mwenyekiti wako wa chama akakufukuza uanachama basi wananchi walioridhishwa na wewe wakakupigia kura kama ulivyo kama mwakilishi wao sahihi, hawana cha kufanya ili kukupata tena wewe kama mwakilishi wao.
Kwa Kenya haipo hivyo katiba inalinda sana uamuzi wa wananchi.
Kwani nani alikwambia Tanzania na Kwenye tuna katiba moja?Kwa kadri nilivyofuatilia Mchakato wa kumng'oa Naibu Rais wa Kenya nimejifunza kwamba tuna kazi kubwa sana ya kufanya ili kupata katiba inayolinda maslahi ya wananchi.
Yaani hapa kwetu ukiwa wewe ni Mbunge Rais hata Diwani ukikosana na mwenyekiti wako wa chama akakufukuza uanachama basi wananchi walioridhishwa na wewe wakakupigia kura kama ulivyo kama mwakilishi wao sahihi, hawana cha kufanya ili kukupata tena wewe kama mwakilishi wao.
Kwa Kenya haipo hivyo katiba inalinda sana uamuzi wa wananchi.
Maadili gani hayo ,embu yaweke hapaHajaondolewa na wahuni kaondolewa na ukiukaji wa maadili.
Off course ni majirani zake mzee mboweMungu ibariki Kenya
Unataka nikutajie!? Mbona yametajwa kwenye mashtaka yake hukuyasikia?Maadil
Maadili gani hayo ,embu yaweke hapa
Sujaelewa unachosemaKwani nani alikwambia Tanzania na Kwenye tuna katiba moja?
Hata hao wanaoitwa 'wapinzani' ni mapandikizi ya CCM, ukijichanganya pamoja nao wanakufanyizia mchana kweupe.Kwa hapa Tanzania ni ngumu kwa vyombo vya ulinzi na usalama kukataa chochote kutoka serikalini maana toka wanaingia humo wanapelekwa kichama zaidi screening inafanyika kama unaviashiria vya uhanaharakati hupati kitu ila ukiwa mwana ccm ni faster..
Only possible way ya kuitoa ccm madarakani ni presha kutoka nje ndio itafanikiwa.
Ila nashanga hivi vyama havijajipanga na unaona kabisa hawapo teyar kukabidhiwa madaraka makubwa kama ya utawala nchini.
Kwa sasa ni best na nafuu sana nchi yetu kuwa chini ya ccm.
Mimi pia naunga mkono ccm.
hivi mashataka ya kumdarau Rais Ruto ni mashataka gani haya ?Unataka nikutajie!? Mbona yametajwa kwenye mashtaka yake hukuyasikia?
We unaona ni halali muongoze serikali moja alafu muwe na kauli tofauti ndo uongozi gani huoHivi k
hivi mashataka ya kumdarau Rais Ruto ni mashataka gani haya ?
EEEeeenHEEEEeee!Mzee tupo kwenye serious topic halafu wewe unaleta michambo. 🤣 🤣 🤣 🤣
Karne hii bado watu wanajinyonga? Unaonekana namna ulivyo outdatedEEEeeenHEEEEeee!
Kwa mtu kama wewe ni kucheka tu!
Sasa nenda kajinyonge kwa kuwa nakuona kama chizi tu.
Wanafanyaje. Wanameza cyanide. Wewe utaipata wapi na ulofa huo unao onyesha umekujaa akilini?Karne hii bado watu wanajinyonga? Unaonekana namna ulivyo outdated
Rudi kwenye hoja acha kujitoa ufahamu kama mpumbavuWanafanyaje. Wanameza cyanide. Wewe utaipata wapi na ulofa huo unao onyesha umekujaa akilini?
Maadili ya uongozi yapi Duputy president kaenda kinyume nayo?Ile pale sii kutofautiana kisiasa ila ni kuenda kinyume na maadili ya uongozi.
Kwa hiyo chuki binafsi ya mtu, na uwezo wa kuwaonga wabunge, imetosha kuwasifu na kuwaona wako juu. Lowassa, elimu!! elimu!!Kwa kadri nilivyofuatilia Mchakato wa kumng'oa Naibu Rais wa Kenya nimejifunza kwamba tuna kazi kubwa sana ya kufanya ili kupata katiba inayolinda maslahi ya wananchi.
Yaani hapa kwetu ukiwa wewe ni Mbunge Rais hata Diwani ukikosana na mwenyekiti wako wa chama akakufukuza uanachama basi wananchi walioridhishwa na wewe wakakupigia kura kama ulivyo kama mwakilishi wao sahihi, hawana cha kufanya ili kukupata tena wewe kama mwakilishi wao.
Kwa Kenya haipo hivyo katiba inalinda sana uamuzi wa wananchi.