Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Safari yeyote ya nje ilihitaji kibali cha magufuli mbona hii ilikua wazi
Kiilikuwa kibali cha serikali. Wafanyakazi tulikuwa tunaomba kibali kutoka utumishi (ofisi ya Rais). Agizo la kwamba tutasafiri kwa kibali ndio lililotolewa na Rais. Kama mimi mtumishi wa umma nilikuwa naruhusiwa kusafiri kwa kibali, yaani Mkapa ndio angekataliwa?
Hapa sipo kumtetea JPM au kumlaani, ila napendelea ukweli na mantiki.
 
Hauna akili timamu,kama unaamini Rais mstaafu naye anahitaji kibali kama mkuu wa idara au mkurugenzi kuweza kwenda nje kupata matibabu.
 
Hiki kitabu ni cha watu wenye low IQ.
 
Leta evidence kuzikanusha unazoita rummors, tafiti zinajibiwa kwa tafiti!!!

Acha kufanyia kazi SPECULATIONS!!
🤔🤔🚴🚴
 
Mkapa hakuwa mtumishi wa serikali kipindi cha Magufuli.

Sasa ahitaji kibali cha nini?
 
Hii ya Moo naweza kuamini maana niliangalia interview moja YouTube akihojiwa na waandishi akawa anaeleza namna alivyotekwa na mpaka kuachwa kwake halafu nikaangalia na sakata la jamaa aliyetuhumiwa nikahisi kabisa ile script iliandaliwa kizembe sana kiasi kwamba mtu anastukia tu nahisi MO alipigwa mkwara kwamba aongee hivi ili hii ishu ipite
 
Kwa utawala wa Jiwe inawezeksna kabisa! Kwani hujui kuwa kuna Watu waliogopa kwenda kumuona Tundu Lissu akiwaHospitali!
 
Nadhani kuna kitu zaidi Kabendera ana Conspire

Kuna drama nyingi sana zimechezwa kwenye hicho kitabu
Mkuu kama huu ni uongo Mo yupo, si atakanusha!!

Au atamfungulia mashtaka Kabendera kwa kumchonganisha na serikali.

Inaelekea wewe ndiye umetengeneza drama na conspiracy theory kichwani mwako halafu unataka utupe taabu kuhangaisha bongo zetu.
 
Duh!
 
Nadhani kuna kitu zaidi Kabendera ana Conspire

Kuna drama nyingi sana zimechezwa kwenye hicho kitabu
Mohammed Dewji hakutekwa na Makonda na TISS? Wakati mwingine tumia akili kidogo. Dewji hakukutwa hapo maeneo ya Gymkhana na zile sarakasi zote za kutekwa na kupatikana za Mambosasa? Kitabu kinasema ukweli labda sehemu ndogo ndogo tu ameweka mawazo yake. Ukweli Magufuli ndiyo amesababisha nchi yetu iwe ya ovyo, ikawekwa kwenye level ya Syria, na Somalia. Haitatokea rais wa ovyo kama Magufuli. Huyu mwingine anaweza kumpita akiendelea na mtindo wake wa kuteka na kuua.
 
Mara paap mwisho wa mwaka upepo unabadilika, anaingia mwingine Giningi, huyo ni pro Jiwe, mara ka flag anasema hicho kitabu alishinikizwa kuandika na mtu flani..

Kumbe naota tu, ngoja nivute shuka nilale, huu mwaka una ndoto za ajabu
Umenifumbua ni "MKAKATI" !
 
M
 
Hivi unajua huku mwishoni kuwa Jiwe alitofautiana na Mkapa! ?
Okay, hata kama walitofautiana….

Kwa nini ahitaji [Mkapa] kibali toka kwa Magufuli cha kusafiri nje ya nchi?

Au labda mimi ndo sielewi. Hivyo nieleweshe.

Kila Mtanzania aliyetaka kusafiri nje ya nchi alihitaji kibali cha Magufuli?
 
Ichokitabu kitakuwa nicha dini mpya,tuambiwetu dini inaitwaje ilitukiulizwa tuseme sisi niwaumini wa dinigani.

Vitabu vya dini havihitaji udhibitisho ni mwendo wa kuaminitu nakutoa sadaka.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…