Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Ebu mda mwingine tuwe tunashirikisha akili zetu vizuri alizotujaalia Mwenyezi Mungu,hivi kweli late Mkapa kwa pesa alizokuwa nazo alishidwa kwel kwenda south kwa matibabu kwa vile magu alikataaa yeye kwenda soutg
Mkuu hii nchi imejaa watu wajinga aisee
 
Yaani Mkapa akose kibali cha kwenda South??
 
Mbona mwandishi kajichanganya sana!? Kwa Mo anasema walikuwa wanasubiri jioni mida ya bank kufungwa wanaenda na Mo bank kutoa pesa ila kwa wafanyabiashara wengine walikuwa wanatoa wao wenyewe tu! Sasa kama walikuwa na uwezo wa kutoa pesa bila muhusika kuwepo ilikuwaje kwa Mo wakawa wanalazimika kwenda naye!?
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.
 
Tuanatakiwa tutambue kuwa hakuna kifo kilikuwa cha ghafla kama cha Mkapa hata Magu mwenyewe alipatwa na mfadhaiko mkubwa sana.

Lakini pia hiyo ilikuwa ni trend ya kupelekea kifo chake mwenyewe, wazito wengi wa karibu na Magu walipotezwa kwanza ili kukifanya kifo kwa wakubwa kionekane cha kawaida kwa watanzania ili hata watakapomu eliminate yeye watu wasijoji sana na bahati nzuri kina Tumiakili walishaandika before atakuwa eliminated.

Na kajamaa kalikosuka mipango hii kapo kanatabasamu tu kametulizana kuleee kenyewe hata hakaguswi.

Kwahiyo hivi vitabu ni mwendelezo wa kumfanya Magu aonekane alikuwa wa hovyo sana maana wakijilinganisha kazi aliyoipiga kwa miaka michache na kazi walioifanya wao kwa miaka mingi wanaonekana hawajafanya kitu ndiyo maana inafikia hatua wadhamini watu wamwandike vibaya ili achukiwe na watu lakini bado wanaangukia pua. Walianza na kumtenbeza nchi nzima baada ya kufariki wakitegemea watu watazomea na kufurahia sana kifo chake mayokeo yake watu wakaupokea msiba kwa simanzi kubwa na kutandikiwa kanga na majani ishara ya ushindi kila alikopita, mradi wao ukafeli vibaya sana baada ya hapo zikafuata drama za kutosha kuonekana Magu atapotea lakini ndo kwanza jina linazidi kutajwa kuliko hata bibi aliyeko magogoni leo.

Naamini kuna mengine mengi yataandikwa na kusemwa juu ya ubaya wa mwamba lakini kazi alizozifanya zinamtetea kwa kiwango kikubwa. Na pia kile kitabu cha profesa wa kizambia vitakuja kusimama kama ishara ya ushindi kwa vizazi vijavyo.

Kuna utekaji mwingine ulifanywa na magenge ya kihalifu ya wabaya wa Magu ili kuondoa itulivu nchini na aonekane nchi imemshinda na sababu yao ya kumu eliminate iungwe mkono na wana dip state wengine lakini ukweli pamoja na ukali na ukatili unaosemwa Magu alikuwa na huruma sana.

Kirusi cha taifa hili kipo kimetulizana tu na siku kikiondoka nadhani ndiyo taifa litaanza kufuata misingi ya uwajibikaji na kulinda tasilimali za taifa ili zitumike kwa manufaa ya wote.
 
Kusoma kitabu cha kijinga kama hicho ni kupoteza muda.ni kitabu cha kufikirika zaidi na hakina ukweli.nitashangaa kama serikali itakaa kimya huku viongozi wakichafuliwa.kwa nini kitabu hakikuandikwa wakati mhusika yuko hai?
 
Huwezi ukajua sana, yawezekana kabendera, kunawatu ndio wanamcotrol kuandike hivi yeye taarifa anazipata kupitia wao waliofanyiwa haya mavituko, katka utawala wa magu,?
 
Tulia ww usijifanye mjanja kuponda ccm ili tusinunue kitabu ww ni bashite umeandika maana na ww ulihuska kweny huu ujinga sasa naona unahamasisha ujinga ili watu wasinunue ukjidai unaponda ccm kueepo madarakan
 
Ww hujielewi kwelikweli

Hiv kuna mtu anaweza tunishiana misuli na serk wakikuamulia jambo au wakiiamulia taasis yoyote?

Serk wanaogopa taasisi moja tu nayo ni dini bas wanajua wakicheza ovyo hapo biashara imeisha
 
Tangu lini ukweli ukawa ujinga? Wewe umeamua kumfanya Magufuli mungu wako!
 
Wewe ndiyo kituko

Kulikuwa na ulazima Gani wakati wa Escrow watu kwenda na magunia kuchukuwa pesa Bank wakati wangeweza kupelekewa na magari majumbani kwako??

Acha hizo hujui nyamaza!
Watz wanajifanya wajuaji sn kumbe hamna lolote yan anataka akili yake inavyowaza bas iwe hivo yan Bure kabisa wabongo
 
Kupinga kwa watu sio ndo kuondoa ukweli, kitabu hiki kipo kama stori uwezekano wa kuwa kweli upo na uongo, mangapi huwa yanasemwa, na watu wanapinga, yanakuja kuwa kweli??
 
Njia za mafanikio sio rahisi......
 
Labda walitaka nyaraka na ushahidi vioneshe Mo alitoa mwenyewe pesa. Baadaye asije kufungua kesi kuidai 'sirikali'.
Sema bado maswali ni mengi.
Mfano pesa hazikuingia serikalini alizichukua Magu, Mara zilitumika kwenye uchaguzi!
 
Exactly!

Hata mimi wala simtetei Magufuli.

Ila mtu akija na stori zake akiniambia Magufuli alifanya hivi au vile, nikiona simulizi yake haiingii akilini, nitahoji mpaka pale utaponishawishi zaidi.
Nyinyi ndo hata uambiwe unatombewa mke wako na jamaa Fulani huamini unasema mpaka ushuhidie unamuamini mkeo sana,..kama anapgwa miti hadharani..
Mzee unataka ushahidi kabisa wa mambo kama hayo wakati yalifanyika yabaki siri.
 
Labda walitaka nyaraka na ushahidi vioneshe No alitoa mwenyewe pesa. Baadaye asije kufungua kesi kuidai 'sirikali'.
Sema bado maswali ni mengi.
Mfano pesa hazikuingia serikalini alizichukua Magu, Mara zilitumika kwenye uchaguzi!
Sasa hapo mpaka umteke ili atoe pesa ? (Yaani uongeze risks involved) Huwezi kutuma wadau tu na kumtisha asaidie hiki au kile ama sivyo ataona cha mtema kuni au deal zake ambazo hazijakaa sawa utazizima ? Hakuna kitu ambacho Serikali haiwezi kufanya tena mara nyingi kwa kupitia legal loopholes let alone kona kona za kusadikika..., Which makes me wonder huenda hii ni mbinu ya waliopo sasa kuonesha waliopita walikuwa wabaya zaidi ili wao waonekane wana nafuu (ingawa hawa wa leo ndio walewale wa jana)

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…